Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Umesahau kuweka namba ya simu

Sent from my HUAWEI VNS-L22 using JamiiForums mobile app
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Mkuu umekosea kutoa neno onyo,kumbuka mh lissu kwa Sasa sio level yako mkuu ,alafu maandishi Kama aya tuwe tunaweka akiba ya maneno,kesho anaweza kuwa rais wako,na ukakosa pa kuficha uso wako,msijidanganye kwamba ccm haiwezi toka madarakani,inawezekana au haiwezekani unategemea wananchi wameamua Nini basi
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Wewe subiri kwanza usijitingishe lissu ameshaingiza sindano subiri asukume dawa angalia sindano isije ikavunjikia kwenye mfupa
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Huna hoja Yaani chadema waacha kulalamika juu ya hujuma za CCM kisa utasema wanalialia jukwaani? Wanaomba kura na poa lazima walalamikie faulu za CCM ikiwemo kuwatumia Polisiccm na NECCCM Tumeccm kuwadhoofisha
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Swala la kupigwa risasi ni la kipuuzi😋😋😋
Kweli dawa inawaingia vizuri
 
Mkuu umekosea kutoa neno onyo,kumbuka mh lissu kwa Sasa sio level yako mkuu ,alafu maandishi Kama aya tuwe tunaweka akiba ya maneno,kesho anaweza kuwa rais wako,na ukakosa pa kuficha uso wako,msijidanganye kwamba ccm haiwezi toka madarakani,inawezekana au haiwezekani unategemea wananchi wameamua Nini basi
CCM inaweza toka madarakani japo si 2020.

Tundu Lissu hawezi kushinda katika Uchaguzi huu.

1.Jengeni Chama Vizuri.
2.Tafuteni watu Smart wa kusimama katika Uongozi.

3 .Jengeni ofisi zenu kupitia Ruzuku mnazopata(Sio hayo Mabanda ya nguruwe tunayoyaona mtaani,Mnatukatisha tamaa).

Labda...Labda, Tunaweza wakabidhi nchi Miaka ya Mbeleni.
 
Wapinzani watapinga na hili akili si wameshikiwa!

Tatizo lao kila wakiona mtu anawakandia huwa wanafikiri ni CCM Huwa hawajua kuna watu hawafungamani kokote na anaweza shauli. kikubwa si tu kupata kiongozi bali kiongozi Bora maana kiongozi atakaepita atatuongoza wote uwe mpinzani au sio.

Huyo jamaa akipata serikali kwa hizo sera zake jua kabisa ataenda kulipiza kisasi na sio kusaidia uchumi,elimu,afya n.k
Hakuna mazuri ya CCM kwa chadema lazima wapinge vyote, acheni kufanya uchakachuaji unyanyasaji kama mnajua kuna visasi na kama mnajua hakuna vya kupingwa iweje muwe na hofu ya visasi?
 
CCM inaweza toka madarakani japo si 2020.

Tundu Lissu hawezi kushinda katika Uchaguzi huu.

1.Jengeni Chama Vizuri.
2.Tafuteni watu Smart wa kusimama katika Uongozi.

3 .Jengeni ofisi zenu kupitia Ruzuku mnazopata(Sio hayo Mabanda ya nguruwe tunayoyaona mtaani,Mnatukatisha tamaa).

Labda...Labda, Tunaweza wakabidhi nchi Miaka ya Mbeleni.
Ofisi iliyopo ndiyo hiyo hiyo inawapeleka puta CCM mpaka kuwabambikia kesi kuwapiga risasi je? Chadema wakiwa na ghorofa 10 si mtawapiga na vifaru nyukilia? Kama mtukufu magufuli mtu muonevu mnyanyasaji mpenda visasi kawa Rais sembuse Tundu lisu mpenda haki? Hilo Banda la nguruwe unaloliona mtaani ndilo hilo hilo Polisiccm na NECCCM Tumeccm wanakesha kulihujumu kupanga uchakachuaji wizi wa kura
 
CCM inaweza toka madarakani japo si 2020.

Tundu Lissu hawezi kushinda katika Uchaguzi huu.

1.Jengeni Chama Vizuri.
2.Tafuteni watu Smart wa kusimama katika Uongozi.

3 .Jengeni ofisi zenu kupitia Ruzuku mnazopata(Sio hayo Mabanda ya nguruwe tunayoyaona mtaani,Mnatukatisha tamaa).

Labda...Labda, Tunaweza wakabidhi nchi Miaka ya Mbeleni.
Mkuu wenda unaongea kiushabiki tu wa chama chako ,ila hapo ulipo ukweli moyo wako unashuhudia,iko ivi wengine tunaongea kimwili na kiroho zaidi 2020 Ina sufuri mbili lakini pia mbili mbili ,niishie hapo msijipe matumaini Sana mtakuja kulia na msipokua makini waweza shangaa upo mental clinic, kwa vitu vidogo ,mchezo wowote Kuna kushinda na kushindwa na ukilijua hili amini nakwambia unakua free kuanzia kiakili mpaka moyo, sawa kada
 
CCM inaweza toka madarakani japo si 2020.

Tundu Lissu hawezi kushinda katika Uchaguzi huu.

1.Jengeni Chama Vizuri.
2.Tafuteni watu Smart wa kusimama katika Uongozi.

3 .Jengeni ofisi zenu kupitia Ruzuku mnazopata(Sio hayo Mabanda ya nguruwe tunayoyaona mtaani,Mnatukatisha tamaa).

Labda...Labda, Tunaweza wakabidhi nchi Miaka ya Mbeleni.
Mwaka 1998 baada ya mfumo wa vyama vingi ilipaswa CCM wagawe majengo viwanja vyote kwa vyama vya upinzani kwa usawa lakini wakapora kila kitu ndiyo maana huogopa vyama vya upinzani mno, hofu yao kuu ni mali za CCM kugawanywa kwa upinzani na pili ni kashfa mbalimbali, ufisadi Ndungai kupiga bilion 12, kupiga trilion 1.5 wakamtoa CAG kafara, ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na ufisadi mkubwa kwenye miradi yote mikubwa
 
Ndugu William, Unaonyesha uu Mtu mwenye Mapenzi na Nia nzuri na Tundu Lissu. Kwani Akupendae na mkweli ndiye anaye Kuonya, Kushauri na kukuonyesha makosa yako, Lakini wanokushangilia na kukusifu hata unapokosea, hao ni maadui na hawana nia nzuri.
Tokea arudi hadi leo, Lissu hajajitangaza kisiasa ila kulalamika na kumponda Magufuli, Yote hayo atapata muda na fursa, lakini huu ni wakati wa kuwavutia wapiga kura , kuwashawishi wajitokeze kwa wingi na wampigie kura, angeweza kuwapata wapiga kura wengi wa chama chake na vyama vinginevyo.

Kwa Mfano jana hapakuwa na sababu ya kutoitangaza ILANI yao Ya Uchaguzi na pia wakazungu,zia uonevu wa wagombea wao kukatwa. Jana Uongozi wa Chadema na Lissu wameudhihirishia UMMA kuwa hawana uwezo wa kufanya au kubeba Ajenda Mbili au zaidi kwa pamoja ( MULTI TASKING). Kuna wengi tunaliona hili la jana , kama mbinu za kumkwamisha TL, au kumtoa kwenye focus.
Uonevu unyanyasaji uovu wa CCM ni ajenda muhimu zaidi kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atataka kuendelea kuteseka na hayo manyanyaso
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Wapiga kura hawatumii akili za kuvukia barabara "they know who is who '
 
Hili suala hata mimi nimeliona
Kimsingi Lissu sio muongeaji mzuri na mjenzi mzuri wa hoja hili ni tatizo la watu wenye akili nyingi,angepata watu Kama Zito ambao inaonekana huko cdm hawapo ingesaidia kuweka bond mzuri.
Lissu angejua kuelezea kirahisi hoja ya bima ya afya na kuhusisha na Hali ya umaskini wa watu ingemsaidia Sana.Kwa mfano umeme umefika karibu kila Kijiji,sasa unakuta Kuna kaya 400 lakini ni kaya 25 tu Zina umeme ,,huu ni mfano tosha kuelezea Hali mbaya ya umaskini maana kaya zote hizo zimeshindwa kulipa 27,000 ya umeme,watu Kama Hawa eti unawaambia tumenunua ndege.Na mengine mengi ambayo ni ya kawaida Ila tu mtu ujue kuyanyumbua na uwe na takwimu
 
Uonevu unyanyasaji uovu wa CCM ni ajenda muhimu zaidi kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atataka kuendelea kuteseka na hayo manyanyaso
Kwani humuyajui kama yamemikuta, inabidi muelezwe kwa marudio na kila mkutano wa Lissu. Nasi iko shida kubwa ya kumbukumbu. Mtu unatakiwa ujue utakaye mpigia kura , muda vyama shindani vitangazapo wagombea.
 
Lisu ni mpropokajia tangu kitambo ndio maana wenye chama wamemuacha ahenyeke peke yake
Nani kamuachia chama peke yake? weee ndiyo unaropoka uzushi, kama Lisu angekuwa peke yake mngehangaika kumhujumu kupitia NECCCM Tumeccm na Polisiccm vyombo binafsi vya CCM, kipindi hiki CCM wapo busy kuwahujumu chadema kwa kila hali lazima wagombea wengi wasalie majimboni kupambana na hujuma za CCM kwa msaada wa Polisiccm
 
Back
Top Bottom