Mbona maelezo yako wazi tu!!! kipindi hiki cha mwezi sept huwa tunafundisha tution kwa vijana wanaomaliza dalasa la saba/pre-form one.Hivyo naitaji mtu mwenye centre either aniajiri,ama tutaelewana kwa asilimia kwenye malipo.Ndiyo maana nikasema,tuwasilianeUngejazia nyama mkuu