Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Wakuu mambo vipi...
Ni muda mrefu sijaandika kwenye jamvi letu hili la biashara, sababu nimerudi Tanzania na nilikuwa nataka kujaribu niliyo yaandika kwa muda mrefu humu (mfano Business Ideas Bure). Nimejaribu na nina ongoing projects ambazo zimeanza kutoa dividend.
Nimekaa nikatazama changamoto za vijana wengi kwenye biashara nikaona kuna umuhimu wa kuanzisha program ambayo itatoa mentorship kwa wanye biashara ndogo ndogo na kama kuna uhalisia wa biashara kukua then naweza kuwekeza mtaji kiasi.
Mambo machache ambayo nilazima uwe nayo ili niweze kutoa mentorship..
Ni muda mrefu sijaandika kwenye jamvi letu hili la biashara, sababu nimerudi Tanzania na nilikuwa nataka kujaribu niliyo yaandika kwa muda mrefu humu (mfano Business Ideas Bure). Nimejaribu na nina ongoing projects ambazo zimeanza kutoa dividend.
Nimekaa nikatazama changamoto za vijana wengi kwenye biashara nikaona kuna umuhimu wa kuanzisha program ambayo itatoa mentorship kwa wanye biashara ndogo ndogo na kama kuna uhalisia wa biashara kukua then naweza kuwekeza mtaji kiasi.
Mambo machache ambayo nilazima uwe nayo ili niweze kutoa mentorship..
- Uwe na lesseni ya biashara au umeenza mchakato wa kuipata. Angalizo, kama una biashara na hauna lesseni ya biashara unafanya mzaha na haupo serious.
- Uwe umeshafanya research na analysis ya biashara, mambo kama ukubwa wa soko, changamoto.