nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Nina miezi miwili tangu nirejee nyumbani Tanzania toka kwenye mawindo ya maisha huko magharibi mwa dunia.
Sasa tangu nimerejea hapa nyumbani nilijitahidi kwa kina kufuatilia mwenendo wa mambo mengi, ila jambo moja nimelikuta kama nilivyoliacha nalo ni nnchi kuwa na Waziri wa mambo ya ndani alie likizo ya muda mrefu.
Nawaza hilo kwasababu Lawrence Masha amechukua njia ya ukimya wa hali ya juu katika maswala ya usalama wa ndani ya nnchi yetu....Hivi karibuni kulitokea mauaji ya Kinyama kule kisiwani Ukerewe ambapo mamia ya raia wasio na hatia waliuawa kwa risasi za majambazi, na kibaya zaidi inadaiwa polisi wetu walihusika kwa namna moja ama nyingine.
katika harakati za kuelekea kufunga mwaka tumeshuhudia ajali z abarabarani zikipoteza maisha ya mamia ya watu nnchi nzima ....mtendaji huyu amekaa kimya...zaidi ya yote raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekua akitoa pole na hata mara moja moja akijitahidi kutolea maelezo juu ya matukio hayo, wakati huohuo Waziri mkuu amekua na kazi kubwa kuhamasisha usalama wa ndani ya nchi....
Sasa natoa hoja kuwa Masha L. waziri na Naibu wake wajiuzulu wenyewe kazi ili tuweze kupatiwa waziri mtendaji katika wizara hiyo nyeti maana LIKIZO yake haijulikani inaisha lini.
Sasa tangu nimerejea hapa nyumbani nilijitahidi kwa kina kufuatilia mwenendo wa mambo mengi, ila jambo moja nimelikuta kama nilivyoliacha nalo ni nnchi kuwa na Waziri wa mambo ya ndani alie likizo ya muda mrefu.
Nawaza hilo kwasababu Lawrence Masha amechukua njia ya ukimya wa hali ya juu katika maswala ya usalama wa ndani ya nnchi yetu....Hivi karibuni kulitokea mauaji ya Kinyama kule kisiwani Ukerewe ambapo mamia ya raia wasio na hatia waliuawa kwa risasi za majambazi, na kibaya zaidi inadaiwa polisi wetu walihusika kwa namna moja ama nyingine.
katika harakati za kuelekea kufunga mwaka tumeshuhudia ajali z abarabarani zikipoteza maisha ya mamia ya watu nnchi nzima ....mtendaji huyu amekaa kimya...zaidi ya yote raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekua akitoa pole na hata mara moja moja akijitahidi kutolea maelezo juu ya matukio hayo, wakati huohuo Waziri mkuu amekua na kazi kubwa kuhamasisha usalama wa ndani ya nchi....
Sasa natoa hoja kuwa Masha L. waziri na Naibu wake wajiuzulu wenyewe kazi ili tuweze kupatiwa waziri mtendaji katika wizara hiyo nyeti maana LIKIZO yake haijulikani inaisha lini.