Natoa Hoja dhidi ya Waziri Masha

Hii concept ya mtu ajiuzulu tu eti kwa sababu hasemi kitu au hasikiki kwenye media outlets etc, imepitwa na wakati sasa, I am sorry to say.

Could it possibly be that he is quiet because the mechanism is in place and churning away and doesn't require his input? Really, does he have to say anything and/or be seen to be deemed "effective"? If this is so, aren't we going back to the old populist politics of Tanzania of years past?

Mwacheni Masha afanye kazi yake na wizara yake. Waziri wake mdogo yupo, idara zake zinafanya kazi na ziko in the public eye etc

Hebu nipe mifano hai ya huyo masha kuwa kiamia na hiyo mechanism is in plcae? ivi wewe huko ndani ya hii nchi au nje? wakumbuka A.R. Mrema akiwa waziri ya mambo ya ndani utendaji kazi wake unaukumbukaaa.?

Hebu tazama sasa ujambazi ulivyo shamiri na waziri wa kitengo husika haongei chochote na hao wakina Kova wanachemka hata kutoa statement kwa media kazi kuwachanganya wananchi tuuuu.

 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.

Hakuna kitu kama hicho kwa Serikali kutimiza wajibu

Ktk Dunia hii lazima kila kitu kiwe na muhusika. Ukisha anza kusema kila mtu anahusika, au eti jukumu hili ni letu wote, hapo utamaanisha hakuna mwenye jukumu.

Masha anahusika na mara nyingi tumeonyesha ktk JF kwamba hafai ktk nafasi aliyonayo. Kumbuka enzi za kamanda Mrema Lyatonga. Waziri lazima aonyeshe kwamba ana wajibu na siyo kusema eti jamii nzima ina wajibu. Kwa nani?

Askari wanafanya ujambazi we kimya halafu unasema tuna waziri? Mbaya zaidi utasikia wabaya ni askari wachache. Tuna hakika ni wacahache? Hawaongezeki.

Inapofikia OCD yuko ktk ujambazi bado unasema ni wacahache! SHAME!
 
Hakuna kitu kama hicho kwa Serikali kutimiza wajibu

Ktk Dunia hii lazima kila kitu kiwe na muhusika. Ukisha anza kusema kila mtu anahusika, au eti jukumu hili ni letu wote, hapo utamaanisha hakuna mwenye jukumu.

Masha anahusika na mara nyingi tumeonyesha ktk JF kwamba hafai ktk nafasi aliyonayo. Kumbuka enzi za kamanda Mrema Lyatonga. Waziri lazima aonyeshe kwamba ana wajibu na siyo kusema eti jamii nzima ina wajibu. Kwa nani?

Askari wanafanya ujambazi we kimya halafu unasema tuna waziri? Mbaya zaidi utasikia wabaya ni askari wachache. Tuna hakika ni wacahache? Hawaongezeki.

Inapofikia OCD yuko ktk ujambazi bado unasema ni wacahache! SHAME!
Masha kwani yupo Tanzania, aah siamini, kwani Bado ni waziri wa mambo ya ndani, basi twafa...maana hakuonekana hata pale kituo cha polisi kilipochomwa moto, makumi ya raia walipoangamia, haonekani katika ajali za basi za barabarani....
 
Lawrence Masha amechukua njia ya ukimya wa hali ya juu katika maswala ya usalama wa ndani ya nnchi yetu....Hivi karibuni kulitokea mauaji ya Kinyama kule kisiwani Ukerewe ambapo mamia ya raia wasio na hatia waliuawa kwa risasi za majambazi, na kibaya zaidi inadaiwa polisi wetu walihusika kwa namna moja ama nyingine.

katika harakati za kuelekea kufunga mwaka tumeshuhudia ajali z abarabarani zikipoteza maisha ya mamia ya watu nnchi nzima ....mtendaji huyu amekaa kimya...zaidi ya yote raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekua akitoa pole na hata mara moja moja akijitahidi kutolea maelezo juu ya matukio hayo, wakati huohuo Waziri mkuu amekua na kazi kubwa kuhamasisha usalama wa ndani ya nchi....

Sasa natoa hoja kuwa Masha L. waziri na Naibu wake wajiuzulu wenyewe kazi ili tuweze kupatiwa waziri mtendaji katika wizara hiyo nyeti maana LIKIZO yake haijulikani inaisha lini.

Kwa hilo la Naibu wake kujiuzulu I beg to differ kwa sababu Naibu wake ni mtu makini. Tatizo lililopo hawezi akakurupuka na kuanza kufanya kazi za Waziri kama kazi hizo hazijakasimiwa kwake kama utaratibu unavyotaka. Akianza kujitokeza kufanya kazi ambazo Waziri anapaswa kufanya atakuwa anakiuka sheria za kazi. Masha avuliwe uwaziri na Naibu wake ashike hatamu hapo ndipo mtakapoona uwezo dhahiri wa Naibu wake.
 
Kwa hilo la Naibu wake kujiuzulu I beg to differ kwa sababu Naibu wake ni mtu makini. Tatizo lililopo hawezi akakurupuka na kuanza kufanya kazi za Waziri kama kazi hizo hazijakasimiwa kwake kama utaratibu unavyotaka. Akianza kujitokeza kufanya kazi ambazo Waziri anapaswa kufanya atakuwa anakiuka sheria za kazi. Masha avuliwe uwaziri na Naibu wake ashike hatamu hapo ndipo mtakapoona uwezo dhahiri wa Naibu wake.

Ni kweli. Ili kuendelea kuwa mbunge wa Nyamagana Masha anahitaji muujiza.
 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.

so unamaanisha Wanafunzi waki fail tusimuwajibishe Maghembe???????????
 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.

so unamaanisha Wanafunzi waki fail tusimuwajibishe Maghembe???????????
 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.
wewe ni mpembuzi mzuri japo ujafafanua,majambazi wamo miongoni mwetu suala la kuwathibiti wasitende uovu ni jukumu la kila mwanajamii polisi peke yao hawawezi kumaliza tatizo hili,ebu kila mmoja awe polisi katika eneo linalomzunguka.
 
wewe ni mpembuzi mzuri japo ujafafanua,majambazi wamo miongoni mwetu suala la kuwathibiti wasitende uovu ni jukumu la kila mwanajamii polisi peke yao hawawezi kumaliza tatizo hili,ebu kila mmoja awe polisi katika eneo linalomzunguka.
ambacho umesahau ni jambo moja kuwa kazi ya Waziri yoyote ni kutenda kazi kwa niaba ya Rais, na Rais ni muajiliwa wa umma, hivyo waziri wa mambo ya ndani ni mlinzi wa kwanza wa usalama wetu, hii ieleweke yeye anakua mtunga sera , msimamizi wa sheria na taratibu zilizowekwa. Jukumu la raia wa kawaida ni kusaidiana na mamlaka zilizopo katika kudumisha ulinzi na usalama.
kwanini tunahisi Masha ameshindwa ? ni kwasababu ameshindwa kuleta mbinu za kuweza kututoa hapa, tumezungukwa na Ujambazi wakutisha, uhalifu wa kila namna, Ajali za kila namna, je hakuna wakutuongoza kutuondoa hapa.
lazima tuwe nakiongozi wa aina yake, ambaye anaweza hata kuiga mbinu za Mzee LYATONGA MREMA, ambae takwimu za utendaji wake hazitii shaka...otherwise Masha ni kariba ya mawaziri wa hovyo kuwahi kutokea nnchi hii, tangu zama za Nyerere, Mwinyi ,Mkapa.....na ndio maana wapo watu wanaohisi labda alijiuzulu nafasi yake hiyo baada ya sakata la yeye kutaka kuwapendelea wale jamaa wa vitambulisho vya ukazi.
 
"MIMI KAMANDA WA KANDA MAALUMU YA DSM, NINATOA TAMKO KUWA, NYIE WOTE MLIOONGEA HAPO JUU, JESHI LA POLISI KUPITIA MITAMBO YAKE MAALUMU YA CCTV, LIMEWANASA MKILA NJAMA ZA KUTAKA WAZIRI MASHA AJIUZULU, HIVYO BASI JESHI LIMEAMUA KUPELEKA MKANDA HUU WA CCTV KWA MWANASHERIA MKUU WA SERKIALI KWA UCHUNGUZI ZAIDI, IKIWA MTABAINIKA NA HATIA, MTENDA JELA MIAKA 5";

hahahaha, hahahaha, hahaha

masha hana lolote, hana uwezo hata wa kuwa waziri, wizara imemshinda hiyo, ndio maana hata jamaa zake polisi wanakuwa wanafanya mambo ambayao hata hayana akili..majambazi kibao..polisi imeshindwa ku deal yao..
in short hatuna waziri hapo
 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.

Siyo kweli waziri ni kiungo muhimu ktk kudhibiti uhalifu. Uliwahi kuona ujambazi wakati wa Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani???
 
Ni aibu sana kwa Waziri mwenye jukumu la kulinda usalama wa Raia haonekani kuguswa pale usalama wa raia hao unapokuwa wa mashaka, Kila mwezi ajali zinatokea, ujambazi kama kule Ukerewe, Arusha, na kwingineko, tulishuhudia mauaji ya Albino hadi waziri mkuu akatoa machozi bungeni waziri tuliyempa jukumu la kututetea yupo kimya, yaani haoni tatizo lolote.

Hata kwenda kuwaona wahanga wa ajali hatujawahi kumsikia, LABDA JOB DESCRIPTION YAKE INAMTAKA KUKAKAA KIMYA

Waziri wa fedha wa Japan alijiuzuru kwa sababu alionekana akiwa amelewa baada ya mkutano wa G - 7. yaani baada ya kikao kwisha alikunywa sana, akalewa, baada ya hapo alijiuzuru.
Lakini huku kwetu sijui waliapishwa kutojiuzuru hata kama kazi imekushinda?
 
mkiacha kuwapigia kura CCM au kuwatosa nje nusu ya wabunge wao watafanya kazi tuu.
 
mkiacha kuwapigia kura CCM au kuwatosa nje nusu ya wabunge wao watafanya kazi tuu.
hiyo ni kweli Koba , CCM ndio mfumo wa utawala uliozalisha hawa kina MASHA, Sofia Simba, Adam Malima, Chenge, Gray Mgonja, Basil; Mramba, na mafisadi wengine wakariba yao, hivyo kama tunataka kuwa salama ni lazima UMMA wa Watanzania uchukue hatua dhidi yao , na hatua muhimu ni kuwang'oa kwenye mfumo wa utawala na uongozi wa nnchi.
 
Ule wakati wa Mrema kuna watu wengi na idara nyingi sana zilisema kuwa anaingilia kazi sio zake - alikuwa anaenda kukamata watu wanalangua bia kwenye vibaa mshenzi kurasini kumbe huku nyuma mdogo wake anapokea rushwa na hongo kutoka kwa real criminals wanopitisha Stella Artois na vinginevyo bila kulipia ushuru, etc. Aliingilia mpaka kufikia a shouting match with the then Mkuu wa mkoa Mama Chips aliyesema Mrema anaingilia sio kwake. (I forgot exactly what was the issue).

Are we wanting those populist leadership in this present day? Personally, zimepitwa na wakati. Katika kila ajali ya magari, tukio la wizi/ujambazi, mauaji etc kulikuwepo na presence ya RPC ambaye ni Polisi iliyo chini ya wizara ya Masha - viongozi wengine pia walikuwepo. I am assuming ripoti hizo hapo juu will trickle up to Masha in due course. Wakati huohuo wafungwa wanagoma Arusha, Wakimbizi repartriation haiendi sawa huko Kigoma, Immigrations, Polisi, cabinet and other meetings, etc etc mambo yanatokea kila siku na wananchi wanasema hatumuoni wala kumsikia hence hafanyi kazi yake - Are you for real?

Puhlllleeeeaaassse!!!
 
tatizo la ujambazi halitokani na utendaji wa waziri wa mambo ya ndani ingawa linaweza kuthibiotiwa kwa kiasi fulani na utendaji mzuri wa polisi. tatizo hili la ujambazi hapa kwetu linatokana na mfumo mzima wa maisha yetu kijamii na kiuchumi.

Pale Lyatonga Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani na majambazi wakasalimisha silaha, mfumo ulikuwa tofauti na huu wa sasa? Kubali tu kuwa Masha hana uwezo bali yupo pale kama zawadi kwa kufanikisha wizi wa mali zetu mwaka 2005!!
 
Nina miezi miwili tangu nirejee nyumbani Tanzania toka kwenye mawindo ya maisha huko magharibi mwa dunia.

Sasa tangu nimerejea hapa nyumbani nilijitahidi kwa kina kufuatilia mwenendo wa mambo mengi, ila jambo moja nimelikuta kama nilivyoliacha nalo ni nnchi kuwa na Waziri wa mambo ya ndani alie likizo ya muda mrefu.


Nawaza hilo kwasababu Lawrence Masha amechukua njia ya ukimya wa hali ya juu katika maswala ya usalama wa ndani ya nnchi yetu....Hivi karibuni kulitokea mauaji ya Kinyama kule kisiwani Ukerewe ambapo mamia ya raia wasio na hatia waliuawa kwa risasi za majambazi, na kibaya zaidi inadaiwa polisi wetu walihusika kwa namna moja ama nyingine.

katika harakati za kuelekea kufunga mwaka tumeshuhudia ajali z abarabarani zikipoteza maisha ya mamia ya watu nnchi nzima ....mtendaji huyu amekaa kimya...zaidi ya yote raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania amekua akitoa pole na hata mara moja moja akijitahidi kutolea maelezo juu ya matukio hayo, wakati huohuo Waziri mkuu amekua na kazi kubwa kuhamasisha usalama wa ndani ya nchi....

Sasa natoa hoja kuwa Masha L. waziri na Naibu wake wajiuzulu wenyewe kazi ili tuweze kupatiwa waziri mtendaji katika wizara hiyo nyeti maana LIKIZO yake haijulikani inaisha lini.


Kumbe mnamuonea bure Mwiguru..
 
Back
Top Bottom