NATO yasema China ni moto wa kuotea mbali!

Bila shaka walilazimishwa lkn sio ile lazima ya kinomanoma ni lazima ya vivutio binafs kwa mfano unapewa ofa ya watoto watano watasomeshwa ktk vyuo levo ya dunia ya kwanza hapo bado muamala
 
Wako kwenye mpango wa kupitia upya strategy yao towards Afrika. Sasa wanataka uhusiano wa pande zote kunufaika.
Comment yako ina point kubwa! Hawa mabwana wakiweka tofauti zao pembeni watatunyonya hadi makamasi
 
Mchina ni mnyonyaji kuliko mzungu na pia ni wabaguzi wakubwa wa rangi. China haiwezi kuinufaisha Afrika hata siku moja.

Tujiulize kwa nini hawa China hawajengi viwanda vyovyote vya maana ktk bara hili ila wako radhi kuleta bidhaa zao feki kuuza barani Afrika, wanafahamu wakifanya hivyo wananchi wao watapigika zaidi kwa kukosa ajira. Urafiki iko pale wameiacha ife kibudu.
 
Mchina ni mnyonyaji kuliko mzungu na pia ni wabaguzi wakubwa wa rangi. China haiwezi kuinufaisha Afrika hata siku moja.

Tujiulize kwa nini hawa China hawajengi viwanda vyovyote vya maana ktk bara hili ila wako radhi kuleta bidhaa zao feki kuuza barani Afrika, wanafahamu wakifanya hivyo wananchi wao watapigika zaidi kwa kukosa ajira. Urafiki iko pale wameiacha ife kibudu.
Hebu nijuze ni nchi gani ya kimagharib ambayo imejenga kiwanda kikubwa hapa bongo na kinazalisha bidhaa gani.
 
Endelea kufatilia magazeti ya udaku
IMF nao wamekua wadaku??? IMF Admits China Has Overtaken The US As The World’s Largest Economy; But Why Is The Media Silent?


hayo ni magazeti yenye hadhi zake hapa duniani na juu ya yote IMF report yake yake ya 2020 imesema wazi kabisa

basi jaribu tu hata ku google ni nchi gani ina uchumi mkubwa zaidi duniani kwa sasa alafu utakuja kuniambia
 
Mkuu, Hawa watu (wote Marekani ni Uchina) ni watu makini sana, Hawatapigana ikiwa hakuna umuhimu wa kufanya hivyo, kwao amani ni bora zaidi kwa biashara zao kuliko machafuko na mapigano.

Hivyo waweza ona ktk kauli zao NATO kama wananywea kuisema Uchina, lakini amini ukiona hivyo jua fika Hapo Vita haitawafaidisha, lakini ikitokea Uchina ikacheza karata zake vibaya
na wakaangukia pabaya, hakika hao NATO tunaowaona 'wananywea' hakika watainua vichwa vyao na kutembea kifua mbele na askari kuelekea Beijing.

Siku hizi Vita hawapigani kwa sababu ya umwamba tu, ni muhimu iambatane na maslahi mapana ya Kiuchumi.
 
Kulikoni dunia kutawaliwa na China bora enzi za utumwa urudi

Hawataweza, lkn upinzani wao kwa magharibi, utaleta afueni kwetu, maana tutakuwa na magharibi haitajiona ndiyo kila kitu. Wanajua tuna alternative na option nyingine.
 
Zambia imeshakuwa koloni la mchina na ni mfano bora zaidi unaoonesha uhalisia wa Sera za mchina Afrika. Mchina anapenda njia za mkato na sioni hili likibadilika zaidi ya porojo na vitendo sifuri.
Mchina anakupiga tokana na ulofa wako na.tamaa zako.ila.mzungu anakutengenezea mazingira kabisa ya kumlamba miguu usipotaka anakununia anakuletea zengwe lingine......mchina ukiona dili lake halikufai unalikataa tu na wala.hakulazimishi kwamba ukigoma atakuletea zengwe lingine
 
Hawataweza, lkn upinzani wao kwa magharibi, utaleta afueni kwetu, maana tutakuwa na magharibi haitajiona ndiyo kila kitu. Wanajua tuna alternative na option nyingine.
Hapo sawa lkn Marekani bado ni bora mara 100 kwani wanakula hawakombi kila kitu lkn mchina atakomba hadi udongo
 
Back
Top Bottom