NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

Mgogoro Kati ya Ukraine upo kweli na Vita kubwa sana yaweza Kutokea baina ya Urusi na Ukraine wakisaidiwa na NATO.

Chokochoko hapo ni Marekani tu ndio ambae anampa kiburi na kumdanganya Ukraine.

Nia ovu ya Marekani Ni kuwa na wanachama wengi wa NATO walio karibu na Urusi na hasa wale walikua wasoviet walionitenga. Lengo kuu Ni kumzunguka Urusi.

NATO wanatishia kumuonya Urusi asijaribu kuingia/kuvamia Ukraine. Wanaonya kuwa Urusi akiingiza majeshi Ukraine atakiona.
Hapa wanatishia tu.hakuna watakachokifanya Kama Urusi akiamua kuingiza,na hajaamua. Zaidi watakachokifanya Ni kujaribu kumpa silaha Ukraine,na ambazo zinaweza kuishia mikononi mwa Urusi.

Kwa Nini nasema NATO wanatishia tuu,Ni kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO,na NATO akiingiza jeshi lake hata kwa kurusha risasi moja tu kuelekea Urusi basi hiyo itakua Vita kamili,amabapo Urusi itatoa jibu kamili kabisa kwa NATO,au kwa lugha nyingine Risasi hiyo itajibiwa kikamilifu na Urusi.

Sasa hapo kitakachochotokea Ni Vita kamaili. Na Vita Kati ya Urusi na NATO itakua sio viita ya Risasi na Bunduki,Wala ndege,Bali Vita vya Makombora. Wote tunajua Hawa mahasimu wawili yaani Urusi na NATO uwezo wao kwenye Makombora.

Je Ni Nani Yuko tayari kwa upande wa NATO kukubali Makombora mapya na ya zamani ya Urusi yatue kwenye nchi zao kwa ajili ya Ukraine ambae hata sio mwanachama wa NATO?

Tena kwa mgogoro amabo hata yeye Ukraine Ana ukorofi wake?

Urusi hatishii,
atavamia kweli na hakuna wa kumfanya kitu.

Katika mgogoro wa Ukraine na Urusi Ni Ukraine na Urusi kweli ndio Zina maslahi sio NATO,NATO lengo la Ni kujitanua tu.

Ukraine yeye anataka kujiunga na Magharibi kweli lakini ndani yake Kuna majimbo yanataka kuwa upande wa Msahariki( Urusi).
Haya majimbo yakijitenga Ukraine inabaki Nusu,hivyo haiko tayari kwa Hilo.

Urusi in Maslahi makubwa kuliko NATO na hata Ukraine,Urusi bado inaipenda Ukraine,lakini Ukraine haiipendi Urusi. Urusi inaogopa Ukraine ikijiunga na NATO kwa sababu NATO itakua kubwa Sana na itakua mlangoni pa Urusi.

Ukraine inawapiga waasi amabao Ni Warusi wa asili. Ukraine ikijiunga na NATO Crimea inaweza kuchukuliwa Tena na Ukraine kwa msaada wa NATO. Hizo Ni sababu chache tu za kwangu kuonesha jinsi Urusi ilivyo na maslahi makubwa na Ukraine.

Kwa maslahi hayo ndio maana nasema Urusi hatishii atavamia kweli na hajali matokeo yoyote Yale tofauti na nchi Kama Ufaransa Ujerumani Italy na wanachama wengine wa NATO labda kidogo Marekani atajitutumua kuonesha Yuko pamoja na Ukraine,lakini ki ukweli wale NATO hawana maslahi makubwa kwao zaidi ya kutanua huo umoja ambao Marekani ndio anafaidika zaidi.

Kwa Ni I Naamini Kuwa Urusi hatishii na atavamia kweli.

Urusi aliwahi kuivamia Georgia kwa ujinga Kama huu wa Georgia kuwapiga waasi wanaotaka kujitenga wa Southern Ossetia na Abkhazia. Urusi alikuja juu na kushusha kipigo kwa Georgia na NATO wakibaki kupiga kelele bila kufanya chochote ingawa walikua wakimpa kiburi Georgia.

Urusi ilikwenda mbali zaidi kwa kumpinga Georgia Hadi ndani na Urusi kuyapa Uhuru majimbo hayo mawili ya Southern Ossetia na Abkhazia kibabe tu. NATO walipiga kelele na UN walipiga kelele Urusi walitia pamba masikioni.

Baada ya mgogoro wa Ukraine kuanza kipindi kile kupelekea Rais aliekuwepo Ukraine wakati ule kupinduliwa na kukimbilia Urusi,baada ya Majimbo ya Luhansk na Donesk kutaka kujitenga Urusi iliingia Ukraine kiana na kujitwalia Jimbo la Crimea iliyokua sehemu ya Ukraine NATO na UN waliishia kupiga kelele huku wakiwa Kama watazamaji wa nyumba inayoungua bila msaada.Urusi hapa hakutishia alifanya kweli.

Mgogoro wa Waasi wa Syria waliokua wakiungwa mkono na Marekani Uingereza,Ufaranza,Uturuki,baadhi ya nchi za Ulaya, Sehemu kubwa ya Waarabu na Israel ili kumtoa Assad.

Urusi peke yake ilipinga Assad kuondolewa na kwa jeuri kabisa katikati ya hao wote ikapeleka majeshi yake na kupigana na yoyote aliekua anataka kumtoa Assad na hatimae leo Assad yupo madarakani zaidi ya miaka nane.

Urusi Tena ikapeleka vifaa vya kijeshi nchini Venezuela kumuunga mkono Raisi Nikolas Maduro ambae Marekani Uingereza na nchi nyingi za Amerika ya KUSINI kufanya kila hila kutaka Maduro aondoke madarakani kisiasa ama kijeshi.Urusi alipeleka vifaa vya kijeshi na wataalamu wa kijeshi nchini Venezuela kumlinda Maduro na Hadi leo yupo miaka kadhaa Sasa. Hii ya Venezuela sio maslahi muhimu Sana kwa Urusi ila kuweka heshima tu.

Kwa Urusi kule Ukraine Ana maslahi makubwa ya muhimu na ya kweli kabisa. Hivyo nchi yoyote duniani huwa inaingia vitani kupigania maslahi yake.

Urusi hapa iko tayari kupigana Vita kabisa na haijali matokeo ya Vita Bali maslahi kwanza. Lakini NATO hasa wa upande wa Ulaya Hawa hata Vita ikianza wao hawoni umuhimu wa Vita. Kwa hiyo NATO wanatishia tu lakini Urusi Hatishii Bali ataingia kweli Kama akiona ujinga unaendelea. Nimeonesha mifano hapo juu ya Georgia,Crimea, na Syria. Urusi hakutishia Bali aliingiza majeshi kweli na Hali halisi tumeiona. Kama mnadhani utani subirini mtaona Kama Urusi ataogopa kuivamia Uraine.
Kutokea kwa vita ni ngumu ila Mrusi anachofanya ni kutengeneza mazingira ya kuwaleta mezani kwa ajili ya mazungumzo na Muafaka, ila wakishupaza shingo kuna baadhi ya majimbo nchini Ukraine yanakwenda na maji kama vile Cremia. Ngoja nijaribu kuchambua kwa namna hii kidogo.

Ngoja nirudi kwenye Mgogoro wa makombora wa Cuba, 1962. Viongozi wawili huru kabisa, Nikita Khrushchev na Fidel Castro waliamua kwamba lingekuwa wazo zuri kwa Urusi kupeleka Makombora kwenye aridhi ya Cuba.
Je, walikuwa na haki ya kufanya uamuzi huo?
Kwa kuwa ni nchi mbili huru walikua na uhuru wa kufanya maamuzi hayo.
Hivyo wakafanya makubaliano hayo ya kupeleka makombora au kufnaay utaratibu wa kuyaunganisha pale Cuba na USA wakagundua hili, na Kennedy akawaambia Warusi, wageuza meli zao au watazizamisha, na ikiwa itasababisha Vita ya tatu ya dunia na iwe ivyo tu. Warusi wanageuza meli zao lakini kulikuwa na maelewano. Haikuwekwa hadharani nchini USA wakati huo, Kennedy alikubali kutoa makombora ya Maekani nchini Uturuki kwa kubadilishana, kwa sababu Warusi walisema, tazama, una makombora nchini Uturuki karibu kabisa na mpaka wetu. We unasema makombora yetu ni tishio kwako kuwepo nchini Cuba, lakini pia makombora yako ni tishio kwetu kuwepo nchini Uturuki. Toa makombora yako nchini Uturuki na sisi hatutapeleka makombor ayetu nchini Cuba.
Hayo yalikuwa maelewano kati ya hawa watu wawili.
Kennedy akaomba kwamba hili lisitangazwe hadharani kwa sababu lingeonekana kama upotevu wa imani na blah, blah, blah na halikuwekwa wazi na mpaka baadaye sana.
Hayo yalikuwa maelewano kati ya hawa watu wawili.

Na hii ikasaidia kuzuia Vita ya tatu ya dunia.

Kwa hivyo sasa hivi viongozi wa Urusi wanaona NATO kama tishio kwao.
Hivi ndivyo inavyoonekana machoni kwa viongozi wote wa Urusi, na hii sio siasa. Wanajiuliza, kwa nini unaendelea kuileta NATO karibu na mpaka yetu? wanajiuliza.
Uko Latvia, umepakana na sisi, uko Estonia umepakana na sisi. Sasa Ukraine inaelekea magharibi, ni swala gumu, Maekani ilicheza mchezo fulani wakati wa uchaguzi wa Ukraine mwaka, hili sio la maana sana. Kikubwa wanachowaza Urusi ni kwamba Ukraine inaelekea magharibi. Wanaendelea kuwaza ikiwa hatimaye itaingia katika eneo la magharibi, basi kwamba Ukraine itajiunga na Umoja wa Ulaya na itakuwa mwanachama wa NATO. Sasa, Ukraine ina mpaka na Urusi. Si hivyo tu, lakini Cremia ambayo ilikuwa na asili ya Kirusi na wanaongea Kirusi, si hivyo tu kuwa na asilia ya Kirusi na kuongea Kirusi kuna kubwa zaidi katika Cremia. Kuna kambi ya Sebastopol ambayo hutumiwa na jeshi la wanamaji wa Urusi katika Black Sea. Kwa hivyo ikiwa Cremia itabaki Ukraine, na ikiwa Ukraine itakuwa sehemu ya NATO, basi kambi hii haitakuwepo, zaidi kutakuwepo na kambi ya wanamaji ya NATO ikiongozwa na Marekani katika eneo hili, na NATO itakuwa kwenye mpaka wa kusini-magharibi mwa Urusi, na Warusi wanaona hii kama hatari kwao, na wanasema hawataruhusu ilo kwamwe.
Je, hili linaingiliana na sheria za kimataifa?
Hapana, haliingiliani. unapozungumza kuhusu sheria za kimataifa kama ilivyo katika Mgogoro wa makombora wa Cuba. Unasema, Hapana hatujalijinsi unavyojsikia. Hatutaruhusu hili kwamwe hatakama unaumia, utajua mwenyewe ila sisi hatuajali kwa ajili ya masilahi yetu. Ni maoni yangu kwamba tangu awali kulikuwa na aina fulani ya makubaliano ya mazungumzo ya kimataifa kwamba Ukraine haitakuwa mwanachama wa NATO na hakutakuwa na tatizo la aina yeyote nchini Ukraine. Lakini makubaliano hayo yanaonekana kuvunjwa, Ukitaka kujua hili tafuta hotuba ya Putin Inayoitwa Munich Speech.
Marekani ina mpaka mkubwa sana na Mexico.
Sasa fikiria kuwa kutokee mapinduzi huko Mexico. Hii si ngumu kufikiria, na fikiria kuwa serikali inayoingia madarakani sio shabiki ama rafiki mkubwa wa Marekani, lakini kwa kuwa inaogopa kutokana na ukubwa wa Marekani, inawaomba Warusi kupeleka jeshi kuwekwa na kuwekwa mpakani mwa Marekani na Mexico.
Unadhani Marekani italikubali hili?

Je kwanini Warusi walikubali hili la Ukraine kuwa wanachama wa NATO?

Je, lazima kuwe na maelewano?

Kwa maoni yangu, Ndiyo lazima kuwe na maelewano na maelewano ni dhamani kwa Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO, na maelewano ni kwamba Warusi kutoka nje ya Ukraine na kuiacha Ukraine ijiendeshe. Tunatoka lakini kuna dhamana.
There must be a compromise, and Russian’s have created it so it is up to western to negotiate right now.

1.png


22.gif
 
Mgogoro Kati ya Ukraine upo kweli na Vita kubwa sana yaweza Kutokea baina ya Urusi na Ukraine wakisaidiwa na NATO.

Chokochoko hapo ni Marekani tu ndio ambae anampa kiburi na kumdanganya Ukraine.

Nia ovu ya Marekani Ni kuwa na wanachama wengi wa NATO walio karibu na Urusi na hasa wale walikua wasoviet walionitenga. Lengo kuu Ni kumzunguka Urusi.

NATO wanatishia kumuonya Urusi asijaribu kuingia/kuvamia Ukraine. Wanaonya kuwa Urusi akiingiza majeshi Ukraine atakiona.
Hapa wanatishia tu.hakuna watakachokifanya Kama Urusi akiamua kuingiza,na hajaamua. Zaidi watakachokifanya Ni kujaribu kumpa silaha Ukraine,na ambazo zinaweza kuishia mikononi mwa Urusi.

Kwa Nini nasema NATO wanatishia tuu,Ni kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO,na NATO akiingiza jeshi lake hata kwa kurusha risasi moja tu kuelekea Urusi basi hiyo itakua Vita kamili,amabapo Urusi itatoa jibu kamili kabisa kwa NATO,au kwa lugha nyingine Risasi hiyo itajibiwa kikamilifu na Urusi.

Sasa hapo kitakachochotokea Ni Vita kamaili. Na Vita Kati ya Urusi na NATO itakua sio viita ya Risasi na Bunduki,Wala ndege,Bali Vita vya Makombora. Wote tunajua Hawa mahasimu wawili yaani Urusi na NATO uwezo wao kwenye Makombora.

Je Ni Nani Yuko tayari kwa upande wa NATO kukubali Makombora mapya na ya zamani ya Urusi yatue kwenye nchi zao kwa ajili ya Ukraine ambae hata sio mwanachama wa NATO?

Tena kwa mgogoro amabo hata yeye Ukraine Ana ukorofi wake?

Urusi hatishii,
atavamia kweli na hakuna wa kumfanya kitu.

Katika mgogoro wa Ukraine na Urusi Ni Ukraine na Urusi kweli ndio Zina maslahi sio NATO,NATO lengo la Ni kujitanua tu.

Ukraine yeye anataka kujiunga na Magharibi kweli lakini ndani yake Kuna majimbo yanataka kuwa upande wa Msahariki( Urusi).
Haya majimbo yakijitenga Ukraine inabaki Nusu,hivyo haiko tayari kwa Hilo.

Urusi in Maslahi makubwa kuliko NATO na hata Ukraine,Urusi bado inaipenda Ukraine,lakini Ukraine haiipendi Urusi. Urusi inaogopa Ukraine ikijiunga na NATO kwa sababu NATO itakua kubwa Sana na itakua mlangoni pa Urusi.

Ukraine inawapiga waasi amabao Ni Warusi wa asili. Ukraine ikijiunga na NATO Crimea inaweza kuchukuliwa Tena na Ukraine kwa msaada wa NATO. Hizo Ni sababu chache tu za kwangu kuonesha jinsi Urusi ilivyo na maslahi makubwa na Ukraine.

Kwa maslahi hayo ndio maana nasema Urusi hatishii atavamia kweli na hajali matokeo yoyote Yale tofauti na nchi Kama Ufaransa Ujerumani Italy na wanachama wengine wa NATO labda kidogo Marekani atajitutumua kuonesha Yuko pamoja na Ukraine,lakini ki ukweli wale NATO hawana maslahi makubwa kwao zaidi ya kutanua huo umoja ambao Marekani ndio anafaidika zaidi.

Kwa Ni I Naamini Kuwa Urusi hatishii na atavamia kweli.

Urusi aliwahi kuivamia Georgia kwa ujinga Kama huu wa Georgia kuwapiga waasi wanaotaka kujitenga wa Southern Ossetia na Abkhazia. Urusi alikuja juu na kushusha kipigo kwa Georgia na NATO wakibaki kupiga kelele bila kufanya chochote ingawa walikua wakimpa kiburi Georgia.

Urusi ilikwenda mbali zaidi kwa kumpinga Georgia Hadi ndani na Urusi kuyapa Uhuru majimbo hayo mawili ya Southern Ossetia na Abkhazia kibabe tu. NATO walipiga kelele na UN walipiga kelele Urusi walitia pamba masikioni.

Baada ya mgogoro wa Ukraine kuanza kipindi kile kupelekea Rais aliekuwepo Ukraine wakati ule kupinduliwa na kukimbilia Urusi,baada ya Majimbo ya Luhansk na Donesk kutaka kujitenga Urusi iliingia Ukraine kiana na kujitwalia Jimbo la Crimea iliyokua sehemu ya Ukraine NATO na UN waliishia kupiga kelele huku wakiwa Kama watazamaji wa nyumba inayoungua bila msaada.Urusi hapa hakutishia alifanya kweli.

Mgogoro wa Waasi wa Syria waliokua wakiungwa mkono na Marekani Uingereza,Ufaranza,Uturuki,baadhi ya nchi za Ulaya, Sehemu kubwa ya Waarabu na Israel ili kumtoa Assad.

Urusi peke yake ilipinga Assad kuondolewa na kwa jeuri kabisa katikati ya hao wote ikapeleka majeshi yake na kupigana na yoyote aliekua anataka kumtoa Assad na hatimae leo Assad yupo madarakani zaidi ya miaka nane.

Urusi Tena ikapeleka vifaa vya kijeshi nchini Venezuela kumuunga mkono Raisi Nikolas Maduro ambae Marekani Uingereza na nchi nyingi za Amerika ya KUSINI kufanya kila hila kutaka Maduro aondoke madarakani kisiasa ama kijeshi.Urusi alipeleka vifaa vya kijeshi na wataalamu wa kijeshi nchini Venezuela kumlinda Maduro na Hadi leo yupo miaka kadhaa Sasa. Hii ya Venezuela sio maslahi muhimu Sana kwa Urusi ila kuweka heshima tu.

Kwa Urusi kule Ukraine Ana maslahi makubwa ya muhimu na ya kweli kabisa. Hivyo nchi yoyote duniani huwa inaingia vitani kupigania maslahi yake.

Urusi hapa iko tayari kupigana Vita kabisa na haijali matokeo ya Vita Bali maslahi kwanza. Lakini NATO hasa wa upande wa Ulaya Hawa hata Vita ikianza wao hawoni umuhimu wa Vita. Kwa hiyo NATO wanatishia tu lakini Urusi Hatishii Bali ataingia kweli Kama akiona ujinga unaendelea. Nimeonesha mifano hapo juu ya Georgia,Crimea, na Syria. Urusi hakutishia Bali aliingiza majeshi kweli na Hali halisi tumeiona. Kama mnadhani utani subirini mtaona Kama Urusi ataogopa kuivamia Uraine.
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Makampuni ya silaha yanapiga pesa
 
Je. Urusi ameacha taratibu zake za kupanga na kuamishia majeshi yake pembezoni mwa Ukraine na kufanya mazoezi nchini mwake?

Katika vyanzo vingine vys habari hao nato wamemwambia atoe vikosi na miZinga yake huko Kalingrand kaeneo fulani kanamilikiwa na Urusi huko Ulaya, kawajibu hapangiwi cha kufanya ndani ya ardhi yake. Hawajamuwekea vikwazo kwa sababu hiyo wala nini.

Seneta kadhaa wa US alishauri kumuwekea vikwazo Rais wa Russia. Kremlin ikasema kitendo hicho kitakuwa ni kubariki kukata mawasiliano ya moja kwa moja kati ya Russia na US. US wamepiga kimya jambo hilo...kwa nini wanaogopa kukata mawasiliano na Russia?
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Majibu yatapatikana wiki hii nani jeuri kutokana na majibu watakayotoa US!
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Nakuona msemaji wa NATO 😁

Subiria huu mwezi wa pili ndio utajua aliyepewa majibu ya kuchagua ni nani!
 
Mgogoro Kati ya Ukraine upo kweli na Vita kubwa sana yaweza Kutokea baina ya Urusi na Ukraine wakisaidiwa na NATO.

Chokochoko hapo ni Marekani tu ndio ambae anampa kiburi na kumdanganya Ukraine.

Nia ovu ya Marekani Ni kuwa na wanachama wengi wa NATO walio karibu na Urusi na hasa wale walikua wasoviet walionitenga. Lengo kuu Ni kumzunguka Urusi.

NATO wanatishia kumuonya Urusi asijaribu kuingia/kuvamia Ukraine. Wanaonya kuwa Urusi akiingiza majeshi Ukraine atakiona.
Hapa wanatishia tu.hakuna watakachokifanya Kama Urusi akiamua kuingiza,na hajaamua. Zaidi watakachokifanya Ni kujaribu kumpa silaha Ukraine,na ambazo zinaweza kuishia mikononi mwa Urusi.

Kwa Nini nasema NATO wanatishia tuu,Ni kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO,na NATO akiingiza jeshi lake hata kwa kurusha risasi moja tu kuelekea Urusi basi hiyo itakua Vita kamili,amabapo Urusi itatoa jibu kamili kabisa kwa NATO,au kwa lugha nyingine Risasi hiyo itajibiwa kikamilifu na Urusi.

Sasa hapo kitakachochotokea Ni Vita kamaili. Na Vita Kati ya Urusi na NATO itakua sio viita ya Risasi na Bunduki,Wala ndege,Bali Vita vya Makombora. Wote tunajua Hawa mahasimu wawili yaani Urusi na NATO uwezo wao kwenye Makombora.

Je Ni Nani Yuko tayari kwa upande wa NATO kukubali Makombora mapya na ya zamani ya Urusi yatue kwenye nchi zao kwa ajili ya Ukraine ambae hata sio mwanachama wa NATO?

Tena kwa mgogoro amabo hata yeye Ukraine Ana ukorofi wake?

Urusi hatishii,
atavamia kweli na hakuna wa kumfanya kitu.

Katika mgogoro wa Ukraine na Urusi Ni Ukraine na Urusi kweli ndio Zina maslahi sio NATO,NATO lengo la Ni kujitanua tu.

Ukraine yeye anataka kujiunga na Magharibi kweli lakini ndani yake Kuna majimbo yanataka kuwa upande wa Msahariki( Urusi).
Haya majimbo yakijitenga Ukraine inabaki Nusu,hivyo haiko tayari kwa Hilo.

Urusi in Maslahi makubwa kuliko NATO na hata Ukraine,Urusi bado inaipenda Ukraine,lakini Ukraine haiipendi Urusi. Urusi inaogopa Ukraine ikijiunga na NATO kwa sababu NATO itakua kubwa Sana na itakua mlangoni pa Urusi.

Ukraine inawapiga waasi amabao Ni Warusi wa asili. Ukraine ikijiunga na NATO Crimea inaweza kuchukuliwa Tena na Ukraine kwa msaada wa NATO. Hizo Ni sababu chache tu za kwangu kuonesha jinsi Urusi ilivyo na maslahi makubwa na Ukraine.

Kwa maslahi hayo ndio maana nasema Urusi hatishii atavamia kweli na hajali matokeo yoyote Yale tofauti na nchi Kama Ufaransa Ujerumani Italy na wanachama wengine wa NATO labda kidogo Marekani atajitutumua kuonesha Yuko pamoja na Ukraine,lakini ki ukweli wale NATO hawana maslahi makubwa kwao zaidi ya kutanua huo umoja ambao Marekani ndio anafaidika zaidi.

Kwa Ni I Naamini Kuwa Urusi hatishii na atavamia kweli.

Urusi aliwahi kuivamia Georgia kwa ujinga Kama huu wa Georgia kuwapiga waasi wanaotaka kujitenga wa Southern Ossetia na Abkhazia. Urusi alikuja juu na kushusha kipigo kwa Georgia na NATO wakibaki kupiga kelele bila kufanya chochote ingawa walikua wakimpa kiburi Georgia.

Urusi ilikwenda mbali zaidi kwa kumpinga Georgia Hadi ndani na Urusi kuyapa Uhuru majimbo hayo mawili ya Southern Ossetia na Abkhazia kibabe tu. NATO walipiga kelele na UN walipiga kelele Urusi walitia pamba masikioni.

Baada ya mgogoro wa Ukraine kuanza kipindi kile kupelekea Rais aliekuwepo Ukraine wakati ule kupinduliwa na kukimbilia Urusi,baada ya Majimbo ya Luhansk na Donesk kutaka kujitenga Urusi iliingia Ukraine kiana na kujitwalia Jimbo la Crimea iliyokua sehemu ya Ukraine NATO na UN waliishia kupiga kelele huku wakiwa Kama watazamaji wa nyumba inayoungua bila msaada.Urusi hapa hakutishia alifanya kweli.

Mgogoro wa Waasi wa Syria waliokua wakiungwa mkono na Marekani Uingereza,Ufaranza,Uturuki,baadhi ya nchi za Ulaya, Sehemu kubwa ya Waarabu na Israel ili kumtoa Assad.

Urusi peke yake ilipinga Assad kuondolewa na kwa jeuri kabisa katikati ya hao wote ikapeleka majeshi yake na kupigana na yoyote aliekua anataka kumtoa Assad na hatimae leo Assad yupo madarakani zaidi ya miaka nane.

Urusi Tena ikapeleka vifaa vya kijeshi nchini Venezuela kumuunga mkono Raisi Nikolas Maduro ambae Marekani Uingereza na nchi nyingi za Amerika ya KUSINI kufanya kila hila kutaka Maduro aondoke madarakani kisiasa ama kijeshi.Urusi alipeleka vifaa vya kijeshi na wataalamu wa kijeshi nchini Venezuela kumlinda Maduro na Hadi leo yupo miaka kadhaa Sasa. Hii ya Venezuela sio maslahi muhimu Sana kwa Urusi ila kuweka heshima tu.

Kwa Urusi kule Ukraine Ana maslahi makubwa ya muhimu na ya kweli kabisa. Hivyo nchi yoyote duniani huwa inaingia vitani kupigania maslahi yake.

Urusi hapa iko tayari kupigana Vita kabisa na haijali matokeo ya Vita Bali maslahi kwanza. Lakini NATO hasa wa upande wa Ulaya Hawa hata Vita ikianza wao hawoni umuhimu wa Vita. Kwa hiyo NATO wanatishia tu lakini Urusi Hatishii Bali ataingia kweli Kama akiona ujinga unaendelea. Nimeonesha mifano hapo juu ya Georgia,Crimea, na Syria. Urusi hakutishia Bali aliingiza majeshi kweli na Hali halisi tumeiona. Kama mnadhani utani subirini mtaona Kama Urusi ataogopa kuivamia Uraine.
Tumechoka tishia tishia ya Urusi. Avamie bana tuone mbivu na mbichi.
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Sio unadhani, ni kwamba tangu mwanzo Urusi ilisema wazi hawana mpango wa kuingia Ukraine labda Ukraine wakiuke masharti waliyoweka, hadi sasa bado Urusi hana sababu ya kuingia Ukraine na hata ikitokea siku akiingia hado hana lengo la kuimega Ukraine kuwa sehemu ya Urusi bali wanachotaka hayo majimbo wanayoongea kirusi yawe nchi huru. Ni vema ukakumbuka Ukraine ni masikini wa kutupwa na itakuwa mzigo kwa Urusi endapo itaamua kuchukua hayo majimbo.

Hata hao NATO sio nchi zote wanachama wana msimamo mmoja kuhusu Ukraine, UK na US wanataka vita itokee na wako upande wa Ukraine wakati Germany na baadhi ya nchi nyingine za NATO zipo neutral.
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Mrusi kabip watu wamepiga mamaee
 
Sio unadhani, ni kwamba tangu mwanzo Urusi ilisema wazi hawana mpango wa kuingia Ukraine labda Ukraine wakiuke masharti waliyoweka, hadi sasa bado Urusi hana sababu ya kuingia Ukraine na hata ikitokea siku akiingia hado hana lengo la kuimega Ukraine kuwa sehemu ya Urusi bali wanachotaka hayo majimbo wanayoongea kirusi yawe nchi huru. Ni vema ukakumbuka Ukraine ni masikini wa kutupwa na itakuwa mzigo kwa Urusi endapo itaamua kuchukua hayo majimbo.

Hata hao NATO sio nchi zote wanachama wana msimamo mmoja kuhusu Ukraine, UK na US wanataka vita itokee na wako upande wa Ukraine wakati Germany na baadhi ya nchi nyingine za NATO zipo neutral.
Tukitaaja
Sio unadhani, ni kwamba tangu mwanzo Urusi ilisema wazi hawana mpango wa kuingia Ukraine labda Ukraine wakiuke masharti waliyoweka, hadi sasa bado Urusi hana sababu ya kuingia Ukraine na hata ikitokea siku akiingia hado hana lengo la kuimega Ukraine kuwa sehemu ya Urusi bali wanachotaka hayo majimbo wanayoongea kirusi yawe nchi huru. Ni vema ukakumbuka Ukraine ni masikini wa kutupwa na itakuwa mzigo kwa Urusi endapo itaamua kuchukua hayo majimbo.

Hata hao NATO sio nchi zote wanachama wana msimamo mmoja kuhusu Ukraine, UK na US wanataka vita itokee na wako upande wa Ukraine wakati Germany na baadhi ya nchi nyingine za NATO zipo neutral.
NATO ni western na magharibi mataifa yenye nguvu za kijeshi duniani ni hizo ulizozitaja, hawo wengine wanasindikiza., yaani
 
Mgogoro Kati ya Ukraine upo kweli na Vita kubwa sana yaweza Kutokea baina ya Urusi na Ukraine wakisaidiwa na NATO.

Chokochoko hapo ni Marekani tu ndio ambae anampa kiburi na kumdanganya Ukraine.

Nia ovu ya Marekani Ni kuwa na wanachama wengi wa NATO walio karibu na Urusi na hasa wale walikua wasoviet walionitenga. Lengo kuu Ni kumzunguka Urusi.

NATO wanatishia kumuonya Urusi asijaribu kuingia/kuvamia Ukraine. Wanaonya kuwa Urusi akiingiza majeshi Ukraine atakiona.
Hapa wanatishia tu.hakuna watakachokifanya Kama Urusi akiamua kuingiza,na hajaamua. Zaidi watakachokifanya Ni kujaribu kumpa silaha Ukraine,na ambazo zinaweza kuishia mikononi mwa Urusi.

Kwa Nini nasema NATO wanatishia tuu,Ni kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO,na NATO akiingiza jeshi lake hata kwa kurusha risasi moja tu kuelekea Urusi basi hiyo itakua Vita kamili,amabapo Urusi itatoa jibu kamili kabisa kwa NATO,au kwa lugha nyingine Risasi hiyo itajibiwa kikamilifu na Urusi.

Sasa hapo kitakachochotokea Ni Vita kamaili. Na Vita Kati ya Urusi na NATO itakua sio viita ya Risasi na Bunduki,Wala ndege,Bali Vita vya Makombora. Wote tunajua Hawa mahasimu wawili yaani Urusi na NATO uwezo wao kwenye Makombora.

Je Ni Nani Yuko tayari kwa upande wa NATO kukubali Makombora mapya na ya zamani ya Urusi yatue kwenye nchi zao kwa ajili ya Ukraine ambae hata sio mwanachama wa NATO?

Tena kwa mgogoro amabo hata yeye Ukraine Ana ukorofi wake?

Urusi hatishii,
atavamia kweli na hakuna wa kumfanya kitu.

Katika mgogoro wa Ukraine na Urusi Ni Ukraine na Urusi kweli ndio Zina maslahi sio NATO,NATO lengo la Ni kujitanua tu.

Ukraine yeye anataka kujiunga na Magharibi kweli lakini ndani yake Kuna majimbo yanataka kuwa upande wa Msahariki( Urusi).
Haya majimbo yakijitenga Ukraine inabaki Nusu,hivyo haiko tayari kwa Hilo.

Urusi in Maslahi makubwa kuliko NATO na hata Ukraine,Urusi bado inaipenda Ukraine,lakini Ukraine haiipendi Urusi. Urusi inaogopa Ukraine ikijiunga na NATO kwa sababu NATO itakua kubwa Sana na itakua mlangoni pa Urusi.

Ukraine inawapiga waasi amabao Ni Warusi wa asili. Ukraine ikijiunga na NATO Crimea inaweza kuchukuliwa Tena na Ukraine kwa msaada wa NATO. Hizo Ni sababu chache tu za kwangu kuonesha jinsi Urusi ilivyo na maslahi makubwa na Ukraine.

Kwa maslahi hayo ndio maana nasema Urusi hatishii atavamia kweli na hajali matokeo yoyote Yale tofauti na nchi Kama Ufaransa Ujerumani Italy na wanachama wengine wa NATO labda kidogo Marekani atajitutumua kuonesha Yuko pamoja na Ukraine,lakini ki ukweli wale NATO hawana maslahi makubwa kwao zaidi ya kutanua huo umoja ambao Marekani ndio anafaidika zaidi.

Kwa Ni I Naamini Kuwa Urusi hatishii na atavamia kweli.

Urusi aliwahi kuivamia Georgia kwa ujinga Kama huu wa Georgia kuwapiga waasi wanaotaka kujitenga wa Southern Ossetia na Abkhazia. Urusi alikuja juu na kushusha kipigo kwa Georgia na NATO wakibaki kupiga kelele bila kufanya chochote ingawa walikua wakimpa kiburi Georgia.

Urusi ilikwenda mbali zaidi kwa kumpinga Georgia Hadi ndani na Urusi kuyapa Uhuru majimbo hayo mawili ya Southern Ossetia na Abkhazia kibabe tu. NATO walipiga kelele na UN walipiga kelele Urusi walitia pamba masikioni.

Baada ya mgogoro wa Ukraine kuanza kipindi kile kupelekea Rais aliekuwepo Ukraine wakati ule kupinduliwa na kukimbilia Urusi,baada ya Majimbo ya Luhansk na Donesk kutaka kujitenga Urusi iliingia Ukraine kiana na kujitwalia Jimbo la Crimea iliyokua sehemu ya Ukraine NATO na UN waliishia kupiga kelele huku wakiwa Kama watazamaji wa nyumba inayoungua bila msaada.Urusi hapa hakutishia alifanya kweli.

Mgogoro wa Waasi wa Syria waliokua wakiungwa mkono na Marekani Uingereza,Ufaranza,Uturuki,baadhi ya nchi za Ulaya, Sehemu kubwa ya Waarabu na Israel ili kumtoa Assad.

Urusi peke yake ilipinga Assad kuondolewa na kwa jeuri kabisa katikati ya hao wote ikapeleka majeshi yake na kupigana na yoyote aliekua anataka kumtoa Assad na hatimae leo Assad yupo madarakani zaidi ya miaka nane.

Urusi Tena ikapeleka vifaa vya kijeshi nchini Venezuela kumuunga mkono Raisi Nikolas Maduro ambae Marekani Uingereza na nchi nyingi za Amerika ya KUSINI kufanya kila hila kutaka Maduro aondoke madarakani kisiasa ama kijeshi.Urusi alipeleka vifaa vya kijeshi na wataalamu wa kijeshi nchini Venezuela kumlinda Maduro na Hadi leo yupo miaka kadhaa Sasa. Hii ya Venezuela sio maslahi muhimu Sana kwa Urusi ila kuweka heshima tu.

Kwa Urusi kule Ukraine Ana maslahi makubwa ya muhimu na ya kweli kabisa. Hivyo nchi yoyote duniani huwa inaingia vitani kupigania maslahi yake.

Urusi hapa iko tayari kupigana Vita kabisa na haijali matokeo ya Vita Bali maslahi kwanza. Lakini NATO hasa wa upande wa Ulaya Hawa hata Vita ikianza wao hawoni umuhimu wa Vita. Kwa hiyo NATO wanatishia tu lakini Urusi Hatishii Bali ataingia kweli Kama akiona ujinga unaendelea. Nimeonesha mifano hapo juu ya Georgia,Crimea, na Syria. Urusi hakutishia Bali aliingiza majeshi kweli na Hali halisi tumeiona. Kama mnadhani utani subirini mtaona Kama Urusi ataogopa kuivamia Uraine.


Dalili za vita Huwa zinaanza mapema sana.
Leo ni February 2022Urusi kaishaingia Ukraine na silaha nzito kuyalinda majimbo yanayotaka kujitenga.
Luhansk na donetsk
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Huyu boya wa tandale bado yupo
 
Urusi amepewa majibu mawili tu achague moja kati ya amani au Vita
Sasa kama NATO wanatishia mpigie simu Putin mwambie asogeze mbele jeshi lake waingie ndani kidogo ya eneo la Ukraine.,

Silaha ishayoingizwa Ukrain juzi wamefanikiwa kuingiza kwa mara ya pili tani 80 lakini pia wakatuma thamani ya dola $200 milioni imetua Kiev lakini kila leo mizigo mipya inatumwa halafu useme wanatania? Let them try

Mi nadhan Urusi wanataka mazungumzo tu si chengine maana yule waziri wao wa mambo ya nje Kremlin amesema wao hawana mpango kuingia Ukraine zaidi wanalinda mpaka wao kwa sababu NATO nao wanazidi kumiminika mpakani mwa Ukraine.,
Mmasai alikuuzia huu ugoro mkimbie kwa spidi zote
 
Nguvu kijeshi unakimbilia vikwazo......mshaufyata mkia beberu pori
Kaka mkubwa wa NATO.yaani USA,ameshatamka mapema kuwa "safari hii wanadili na moja ya jeshi kubwa sana hapa ulimwenguni,
Sio vikundi vya kigaidi.
Aisee hii kauli kwa kweli Mimi iliniogopesha sana".alitamka Joe Biden mwenyewe kutoka kinywani mwake.
Na akaongezea kuwa "USA haitaingiza jeshi lake kupambana na Jeshi la Urusi uso kwa uso.,"
Akaongeza Tena,
"Raia wote wa Marekani walioko Ukraine waondoke wenyewe kwa UsA haitapeleka wanajeshi wake kwenda kuwaokoa".

Watu wakiambiwa Huwa hawasikii.
Urusi sio somalia,sio Libya,sio Iraq,sio alqaida,sio ISIS,sio Kosovo wala sio,sio Boko haram chochote,Urusi ni Urusi.
 
Back
Top Bottom