Hii kali mwaka huu hivi imagine mkurugenzi kweli anaamua kutangaza kwenye newspaper wale wote waliomba kazi ya Assistant Accountant waende kwenye written interview na for more information tembelea www.nictanzania.com unaingia kwenye web hamna information yoyote hivi hii c dharau wanaona watoto wa maskini tunavohangaika ndo wameamua kutumia njia kama hizi nenda pspf nssf the sama way da jamani hichi kiama