National housing corporation kufa katika kipindi cha miaka 20-30 ?

Maundumula

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
7,553
3,070
Habari wandugu,

Mimi si mjuzi wa mambo ya ujenzi lakini kuna swala nimekuwa nikitafakuri kichwani na kujiuliza maswali.

Hili shirika letu la nyumba la Taifa linamiliki nyumba nyingi zilizojengwa miaka ya 60 na kwa elimu yangu ndogo nafahamu kwamba haya majengo yote yanakuwa na umri, na kinapofika kipindi inabidi yaagushwe chini kwa sababu za kiusalama. Mathalan jengo lililojengwa mwaka 1953 sasa hivi lina miaka 59 hii ndio kusema baada ya miaka 20 litakuwa na miaka 79.

Je itapofika wakati wa kuyaangusha haya majengo si ndio itakuwa mwisho wa shirika lenyewe? au utapofika wakati wahusika watafumbia macho na kuendelea kulamba kodi? Ukizingatia kasi ya kujenga nyumba mpya za NHC ni ndogo je hili shirika lita survive hiki kipindi cha msukosuko?
 
Habari wandugu,

Mimi si mjuzi wa mambo ya ujenzi lakini kuna swala nimekuwa nikitafakuri kichwani na kujiuliza maswali.

Hili shirika letu la nyumba la Taifa linamiliki nyumba nyingi zilizojengwa miaka ya 60 na kwa elimu yangu ndogo nafahamu kwamba haya majengo yote yanakuwa na umri, na kinapofika kipindi inabidi yaagushwe chini kwa sababu za kiusalama. Mathalan jengo lililojengwa mwaka 1953 sasa hivi lina miaka 59 hii ndio kusema baada ya miaka 20 litakuwa na miaka 79.

Je itapofika wakati wa kuyaangusha haya majengo si ndio itakuwa mwisho wa shirika lenyewe? au utapofika wakati wahusika watafumbia macho na kuendelea kulamba kodi? Ukizingatia kasi ya kujenga nyumba mpya za NHC ni ndogo je hili shirika lita survive hiki kipindi cha msukosuko?

Mbona mjini Dar wameanza kuyaangusha mengi sana wanaingia ubia na watu binafsi na wanaweka vitu vipya. Unaishi wapi wewe?
 
Mbona mjini Dar wameanza kuyaangusha mengi sana wanaingia ubia na watu binafsi na wanaweka vitu vipya. Unaishi wapi wewe?

Well pengine nilipitwa, kama wanafanya hivyo basi wameona mbali Hongera zao

Mimi nilifikiri bado wanauza viwanja hapo city centre
 
Well pengine nilipitwa, kama wanafanya hivyo basi wameona mbali Hongera zao

Mimi nilifikiri bado wanauza viwanja hapo city centre

Hapana, nyumba za NHC zilikuwa zinauzwa kabla Kikwete hajachukuwa madaraka, wajanja wachache waliuziana, Kikwete alipoingia kitu cha kwanza alizuia nyumba zote za serikali zisiuzwe.

Unakumbuka wakati wa Mkapa walivyogaiana nyumba karibu ya bure? zingine zilikuwa za NHC.
 
Hapana, nyumba za NHC zilikuwa zinauzwa kabla Kikwete hajachukuwa madaraka, wajanja wachache waliuziana, Kikwete alipoingia kitu cha kwanza alizuia nyumba zote za serikali zisiuzwe.

Unakumbuka wakati wa Mkapa walivyogaiana nyumba karibu ya bure? zingine zilikuwa za NHC.

Nakumbuka Ribosome,

Nadhani na ile nyumba ya Mkapa pale Sea View karibia Bank M alinunua NHC , hope walimpa bei halisi kutokana na thamani ya nyumba na eneo. Heko Kikwete kwa kuokoa jahazi.
 
Nakumbuka Ribosome,

Nadhani na ile nyumba ya Mkapa pale Sea View karibia Bank M alinunua NHC , hope walimpa bei halisi kutokana na thamani ya nyumba na eneo. Heko Kikwete kwa kuokoa jahazi.

Unampa heko ya kuokoa jahazi lipi wakati na yeye kachukua ile nyumba ya serikali pale migombani!! Aliahidi kuwa atazirudisha zile nyumba za serikali walizojiuzia bei poa mbona mpaka sasa kafyata mkia!! Huyu ni muuza sura tu kazi kuzurula dunia nzima sio mtendaji.
 
Unampa heko ya kuokoa jahazi lipi wakati na yeye kachukua ile nyumba ya serikali pale migombani!! Aliahidi kuwa atazirudisha zile nyumba za serikali walizojiuzia bei poa mbona mpaka sasa kafyata mkia!! Huyu ni muuza sura tu kazi kuzurula dunia nzima sio mtendaji.

Usongo huo.
 
Back
Top Bottom