Hapa ilitakiwa uniombe nikupe detail zaidi, sio kuniuliza source, hata hivyo kuanzia saa 2 usiku fuatilia vyombo vya habari vitatangaza kwa undani suala hili,Noo you got it wrong....nilimaanisha kama ni website our ubao gani wa matangazo tukaangalie..please
Nyie watu wa JF mnakimbilia source badala ya kujadili mada, Source ni waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi,
Nimekuelewa, baada ya kugundua kuwa sio hewa, sasa toa maoni yako,