National Exams Top Scorers Nchini Kenya wanathaminiwa sana

Dominus Vobiscum

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
432
493
Nimekuwa nafuatilia kwa muda mrefu kiasi, namna wenzetu Wakenya wanavyofanya kwenye mambo ya elimu hasa linapokuja swala la Matokeo ya Mitihani Primary and Secondary school.
Matokeo yanapotoka huwa ni kama Sherehe fulani ya Kitaifa. Waziri mwenye dhamana anampelekea Rais muhtasari, then kuna kuwa na mkusanyiko wa Wakuu wa idara na taasisi zote zinazohusika na Elimu.

Hapo inakuwa tafrija. Na wale top scorers wanatambuliwa na kupewa special coverage,hali inayoinua mori kwa wanafunzi.

Na pia wanapewa offer kusomeshwa kwenye prestigious Universities
Swali langu linakuja, hasa kwetu hapa, Kwanini kusianzishwe utaratibu kama huu ambao kwa mtazamo wangu ni chachu mojawapo kuinua ufaulu?

Nakumbuka muongo uliopita, niliwahi kutandika A's za kumwaga nikitokea Tabora Boys, well, niliishia kushikwa mkono na Waziri Dr. Pius Ng'wandu, (si haba) na kupewa Scholarship huko Algeria , (Bachelor degree miaka 6 => French language course 1 yr,General science 2yrs, B.Sc Telecom. 3yrs ) ambayo niliipiga chini!
 
Nimekuwa nafuatilia kwa muda mrefu kiasi, namna wenzetu Wakenya wanavyofanya kwenye mambo ya elimu hasa linapokuja swala la Matokeo ya Mitihani Primary and Secondary school.
Matokeo yanapotoka huwa ni kama Sherehe fulani ya Kitaifa. Waziri mwenye dhamana anampelekea Rais muhtasari, then kuna kuwa na mkusanyiko wa Wakuu wa idara na taasisi zote zinazohusika na Elimu.

Hapo inakuwa tafrija. Na wale top scorers wanatambuliwa na kupewa special coverage,hali inayoinua mori kwa wanafunzi.

Na pia wanapewa offer kusomeshwa kwenye prestigious Universities
Swali langu linakuja, hasa kwetu hapa, Kwanini kusianzishwe utaratibu kama huu ambao kwa mtazamo wangu ni chachu mojawapo kuinua ufaulu?

Nakumbuka muongo uliopita, niliwahi kutandika A's za kumwaga nikitokea Tabora Boys, well, niliishia kushikwa mkono na Waziri Dr. Pius Ng'wandu, (si haba) na kupewa Scholarship huko Algeria , (Bachelor degree miaka 6 => French language course 1 yr,General science 2yrs, B.Sc Telecom. 3yrs ) ambayo niliipiga chini!
Shukuru mungu ulijaliwa kiasi hiko wenzio tulitandikaa hizo As kutoka shule za kawaida sio kama hiyo kubwaa ilaaa tumeishia kusoma public university here in tz na mkopo sijui Mara grants zilituzingua hakuna ajatejal kuwa unahtaj mazingira mazur ili usome uje ujisaidie mwenyew na taifa .
 
Ni utamaduni tuu, ambao sioni kama unachangia matokeo ya wanafunzi kuwa mazuri au la.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom