Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wanabodi,
Ukifatilia kwa makini mfumo wa uendeshaji wa vyama hivi utagundua vyama hivi vinafanana kama watoto mapacha.
Wote wawili wanajinasibu ni wanademokrasia hata ukiangalia majina ya vyama vyao yanaelezea kupigania demokrasia ilihali hawana demokrasia yoyote ndani yao especial uhuru wa wanachama wao kukosoa mambo yasioenda sawa ndani ya vyama vyao.
Wote wawili wana wenyeviti wa kudumu tofauti na chadema hawajasema live kama National Council for the Defense of Democracy
Wote wawili wenyeviti wao hawapingwi na yoyote atakayewapinga ataonyeshwa chamtee makuni
Watanzania hapo ndo tuangalie kwa wenzetu wa burundi ndo tufikirie kuwapa nchi cdm
Ukifatilia kwa makini mfumo wa uendeshaji wa vyama hivi utagundua vyama hivi vinafanana kama watoto mapacha.
Wote wawili wanajinasibu ni wanademokrasia hata ukiangalia majina ya vyama vyao yanaelezea kupigania demokrasia ilihali hawana demokrasia yoyote ndani yao especial uhuru wa wanachama wao kukosoa mambo yasioenda sawa ndani ya vyama vyao.
Wote wawili wana wenyeviti wa kudumu tofauti na chadema hawajasema live kama National Council for the Defense of Democracy
Wote wawili wenyeviti wao hawapingwi na yoyote atakayewapinga ataonyeshwa chamtee makuni
Watanzania hapo ndo tuangalie kwa wenzetu wa burundi ndo tufikirie kuwapa nchi cdm