Habari zenu watu wa Mungu, mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 39, ninahitaji mwanamke wa kuoa, nawakaribisha sana wanawake wenye uhitaji wa dhati wa kuolewa.
Wasifu wangu nikama ifuatavyo; -Elimu - degree ninazo -Sijawahi kuishi na mwanamke yeyote katika maisha yangu. - Mrefu kiasi, siyo mweupe siyo mweusi. Nimfanyabiashara.
Mwanamke ninaye mhitaji awe; - Anamcha Mungu wa Isaka,Ibrahimu na Yakobo, anayeigiza kumcha Mungu simhitaji. -Mchapakazi na mvumilivu. -Ajue kusoma na kuandika. - Awe kuanzia miaka 20 mpaka 30. -Single mother big no.
Misingi ya maendeleo ipo tayari, yeye aje kusaidia finishing tu.
Wasifu wangu nikama ifuatavyo; -Elimu - degree ninazo -Sijawahi kuishi na mwanamke yeyote katika maisha yangu. - Mrefu kiasi, siyo mweupe siyo mweusi. Nimfanyabiashara.
Mwanamke ninaye mhitaji awe; - Anamcha Mungu wa Isaka,Ibrahimu na Yakobo, anayeigiza kumcha Mungu simhitaji. -Mchapakazi na mvumilivu. -Ajue kusoma na kuandika. - Awe kuanzia miaka 20 mpaka 30. -Single mother big no.
Misingi ya maendeleo ipo tayari, yeye aje kusaidia finishing tu.