Natia nia kugombea ubunge jimbo la zitto Kabwe 2015 kupitia CDM

segwanga

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
2,789
729
Baada ya zitto kabwe kutangaza hadharani kwamba hagombei tena ubunge mwaka 2015,nimefarijika na kuona njia ni nyeupe kwangu kutangaza mapema kwamba jimbo la kigoma kaskazini linatakiwa libaki kwenye himaya ya chama makini ambocho mwaka 2015 kinakamata dola (lakn si kwa kichwa cha zitto).Watu wa kigoma kaskazini wanatakiwa wapate mbunge anayeeleweka si kinyonga kama mbunge wa sasa.Mi ni mpambanaji wa ukweli na naamini hapa jf great thinkers wapo watanipa ushauri makini ili kufanikiwa katka lengo langu hilo.NAOMBA USHAURI WENU WANABODI.
 
Baada ya zitto kabwe kutangaza hadharani kwamba hagombei tena ubunge mwaka 2015,nimefarijika na kuona njia ni nyeupe kwangu kutangaza mapema kwamba jimbo la kigoma kaskazini linatakiwa libaki kwenye himaya ya chama makini ambocho mwaka 2015 kinakamata dola (lakn si kwa kichwa cha zitto).Watu wa kigoma kaskazini wanatakiwa wapate mbunge anayeeleweka si kinyonga kama mbunge wa sasa.Mi ni mpambanaji wa ukweli na naamini hapa jf great thinkers wapo watanipa ushauri makini ili kufanikiwa katka lengo langu hilo.NAOMBA USHAURI WENU WANABODI.

...Nenda jukwaani huko kwa akina "Leka Lutigite" ukayaongee hayo alafu utegemee kupata ushindi, utawarahisishia kweli wapinzani wako....
 
Mwanzo wa CDM kuwa imara.
1.Kauli za zitto
2.Kupoteza umeya mwanza
Mtake msitake tatizo si Mh zitto kutanganza kuwania urais 2015 laaa.Tatizo kuwa Mh ZITTO alikuwa hana cha kwa waambia watu walioudhulia mkutano huwo.Swali langu je walioandaa mkutano ndo lilikuwa lengo la kumwalika zitto pale.? Amini na usiamini Mh ZITTO anakwenda kama kinyonga.Kauli hizi zinaweza kuwa zinamsaidia au azimsaidiii huko twendako. Nanukuu msemo wa Marehemu BA,WA TAIFA JK.(Nyumba isipokuwa na msingi IMARA ikikumbwa na dhoruba itapata nyufa zinaweza kuwa kubwa au kidogo) Fikiri

Wazo zuri sana asijione kuwa pale hupo yeye,
 
Baada ya zitto kabwe kutangaza hadharani kwamba hagombei tena ubunge mwaka 2015,nimefarijika na kuona njia ni nyeupe kwangu kutangaza mapema kwamba jimbo la kigoma kaskazini linatakiwa libaki kwenye himaya ya chama makini ambocho mwaka 2015 kinakamata dola (lakn si kwa kichwa cha zitto).Watu wa kigoma kaskazini wanatakiwa wapate mbunge anayeeleweka si kinyonga kama mbunge wa sasa.Mi ni mpambanaji wa ukweli na naamini hapa jf great thinkers wapo watanipa ushauri makini ili kufanikiwa katka lengo langu hilo.NAOMBA USHAURI WENU WANABODI.

swali ? utaifanyia nini kighoma kaskazini ??
 
Baada ya zitto kabwe kutangaza hadharani kwamba hagombei tena ubunge mwaka 2015,nimefarijika na kuona njia ni nyeupe kwangu kutangaza mapema kwamba jimbo la kigoma kaskazini linatakiwa libaki kwenye himaya ya chama makini ambocho mwaka 2015 kinakamata dola (lakn si kwa kichwa cha zitto).Watu wa kigoma kaskazini wanatakiwa wapate mbunge anayeeleweka si kinyonga kama mbunge wa sasa.Mi ni mpambanaji wa ukweli na naamini hapa jf great thinkers wapo watanipa ushauri makini ili kufanikiwa katka lengo langu hilo.NAOMBA USHAURI WENU WANABODI.
Sitaki nionekane kama msemaji wa Zitto. Lakini kama nimempata vyema, alichosema ni kuwa atagombea urais kama chama chake kitampitisha, ambalo ni jambo jema kidemokrasia ingawa hatujui kama katiba kipindi hicho itakuwa inamruhusu kiumri. Kwa ulivyoandika, nitashangaa chama makini kumpa nafasi ya ugombea kilaza kama wewe.
 
Sitaki nionekane kama msemaji wa Zitto. Lakini kama nimempata vyema, alichosema ni kuwa atagombea urais kama chama chake kitampitisha, ambalo ni jambo jema kidemokrasia ingawa hatujui kama katiba kipindi hicho itakuwa inamruhusu kiumri. Kwa ulivyoandika, nitashangaa chama makini kumpa nafasi ya ugombea kilaza kama wewe.

Hapo kwenye Blue. Hiki ndicho kinashangaza wengi na kuwafanya wamuone Zitto mtu wa ajabu na si suala la yeye (Zitto) kutangaza kuomba ridhaa ya chama chake ili kimteue agombee urais.Zitto anawezaje kila mara kutangaza anautaka urais wakati katiba ya nchi inamnyima fursa hiyo kwa kigezo cha umri? Au ameshapiga ramli akajua katiba mpya inayokuja lazima itashusha umri wa kugombea urais?
 
Baada ya zitto kabwe kutangaza hadharani kwamba hagombei tena ubunge mwaka 2015,nimefarijika na kuona njia ni nyeupe kwangu kutangaza mapema kwamba jimbo la kigoma kaskazini linatakiwa libaki kwenye himaya ya chama makini ambocho mwaka 2015 kinakamata dola (lakn si kwa kichwa cha zitto).Watu wa kigoma kaskazini wanatakiwa wapate mbunge anayeeleweka si kinyonga kama mbunge wa sasa.Mi ni mpambanaji wa ukweli na naamini hapa jf great thinkers wapo watanipa ushauri makini ili kufanikiwa katka lengo langu hilo.NAOMBA USHAURI WENU WANABODI.
sishangai kabisa kwa huu uzi wako. we all know that, kwa jinsi chadema kilivyo na sera zake zinazoelemea upande fulani (sitaki kuutaja) zitto ni gamba. linatakiwa liondolewe. again, no wonder.
 
Hapo kwenye Blue. Hiki ndicho kinashangaza wengi na kuwafanya wamuone Zitto mtu wa ajabu na si suala la yeye (Zitto) kutangaza kuomba ridhaa ya chama chake ili kimteue agombee urais.Zitto anawezaje kila mara kutangaza anautaka urais wakati katiba ya nchi inamnyima fursa hiyo kwa kigezo cha umri? Au ameshapiga ramli akajua katiba mpya inayokuja lazima itashusha umri wa kugombea urais?


si huwa wanaeenda msikitini pamoja na jk labda wameshajadiliana watabadilisha umri wa uraisi maanake hata wakati jk anasema kuna udini zzk pekee ndie alikubaliana naye hadharani
 
Saidia katika ujenzi wa chama kwanza mambo mengine yatafuata!
 
Back
Top Bottom