Nathan Mpangala anatutisha?

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,251
kibonzo.png
 
Eti ccm wantudanganya wanaotunga ni wachina na wazungu wkt ni wao ndo wanatanguliza matumbo yao kuanzia bungeni mpaka kwenye baraza la mawaziri
 
No uhalisia. ...unufaika wetu kwa madini ni mdogo sana. Ni eneo ambalo linamchango mdogo sana
 
Ya kweli haya.,Bara Africa tunamalizana wenyewe kwa mali alizotujaalia Muumba wetu.
Inaitajika hekima ambayo imesharudi tena Africa ndiyo maana wazungu wanachanganyikiwa! Believe me!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom