puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
Habar za muda huu wana JF. I hope mpo good...kwa wale wenye majanga poleni..Mungu atawasaidia ni sehemu ya maisha.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa nijuavyo Mimi,
KIPAJI :
ni sehemu ya uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ngazi ya juu. Kipaji kinaweza kuwa cha kimwili au cha kiakili.
Pia uwezo huu uwa ni wakuzaliwa nao, ukiwa hujapata mafunzo au maarifa kutoka sehemu yoyote.
Ni vigumu sana mtu kutambua kipaji chake, huu umekuwa ni mtihani mgumu miongoni mwetu.
Katika harakati mbali mbali za kimaisha, unaweza kufanya vitu vingi lkn ikitokea kimoja ukaweza kukifanya kwa ufanisi mkubwa kuliko wengine, tena bila kutumia nguvu wala akili nyingi, hicho ndio kipaji chako.
Pia hata kwenye maandiko matakatifu wanasema, "yeyote atumiae karma(kipaji) yake huyo hawezi kufa njaa kamwe (umaskini) maana hilo ndio kusudio la Mungu juu yake".
Hivyo Ni wazi kwamba ukitumia kipaji chako katika maisha yako..huwezi kuwa mtu wa hovyo hovyo.. tafsiri yake ndio ulipo utajiri wako.
Sasa Mimi mwenzenu ni mwanaume...ila kwenye sekta ya jikoni...Ni hatari, mwanzoni niliona kawaida ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kabisa naweza kufanya kitu hapa. Watu wengi wamekuwa wakinishauri...kama ningekuwa na sehemu natengeneza chakula kwa ajili ya biashara...basi mteje kula chakula changu Mara moja tu, ingetosha kuwa mwanachama wa kudumu katika ofisi yangu...maana Ni nadra Sana kupata chakula kitamu na kinachovutia.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...now nafanya mambo mengine kabisa tofauti na upishi namshukuru Mungu si haba maisha yanaenda.
Ila pia sitak nife kabla sijatumia kipaji Changu kwa jamii inayonizunguka. Kwa maana ndio kusudio la Mungu juu yangu...Kama isemavyo biblia.
Ila ufinyu wa muda umekuwa kikwazo sana kwangu kutokana na biashara ninazo zifanye, madhumuni ya kuja hapa..Ni kuomba ushauri nawezaje kutumia karma yangu pasipo kuvuruga utaratibu wangu wa kila siku. Maana kuacha biashara ninayoifanya niingie kwenye mambo hayo ya mapishi, nakuwa muoga kidogo...labda niangalie maendeleo yatakavyo kuwa ndio nifanye maamuzi.
Tafadhali..nimeandika hapa kwa sababu ushauri wenu ni muhimu sana kwangu, naamini sitotoka mtupu.
Karibuni wapendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa nijuavyo Mimi,
KIPAJI :
ni sehemu ya uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ngazi ya juu. Kipaji kinaweza kuwa cha kimwili au cha kiakili.
Pia uwezo huu uwa ni wakuzaliwa nao, ukiwa hujapata mafunzo au maarifa kutoka sehemu yoyote.
Ni vigumu sana mtu kutambua kipaji chake, huu umekuwa ni mtihani mgumu miongoni mwetu.
Katika harakati mbali mbali za kimaisha, unaweza kufanya vitu vingi lkn ikitokea kimoja ukaweza kukifanya kwa ufanisi mkubwa kuliko wengine, tena bila kutumia nguvu wala akili nyingi, hicho ndio kipaji chako.
Pia hata kwenye maandiko matakatifu wanasema, "yeyote atumiae karma(kipaji) yake huyo hawezi kufa njaa kamwe (umaskini) maana hilo ndio kusudio la Mungu juu yake".
Hivyo Ni wazi kwamba ukitumia kipaji chako katika maisha yako..huwezi kuwa mtu wa hovyo hovyo.. tafsiri yake ndio ulipo utajiri wako.
Sasa Mimi mwenzenu ni mwanaume...ila kwenye sekta ya jikoni...Ni hatari, mwanzoni niliona kawaida ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kabisa naweza kufanya kitu hapa. Watu wengi wamekuwa wakinishauri...kama ningekuwa na sehemu natengeneza chakula kwa ajili ya biashara...basi mteje kula chakula changu Mara moja tu, ingetosha kuwa mwanachama wa kudumu katika ofisi yangu...maana Ni nadra Sana kupata chakula kitamu na kinachovutia.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...now nafanya mambo mengine kabisa tofauti na upishi namshukuru Mungu si haba maisha yanaenda.
Ila pia sitak nife kabla sijatumia kipaji Changu kwa jamii inayonizunguka. Kwa maana ndio kusudio la Mungu juu yangu...Kama isemavyo biblia.
Ila ufinyu wa muda umekuwa kikwazo sana kwangu kutokana na biashara ninazo zifanye, madhumuni ya kuja hapa..Ni kuomba ushauri nawezaje kutumia karma yangu pasipo kuvuruga utaratibu wangu wa kila siku. Maana kuacha biashara ninayoifanya niingie kwenye mambo hayo ya mapishi, nakuwa muoga kidogo...labda niangalie maendeleo yatakavyo kuwa ndio nifanye maamuzi.
Tafadhali..nimeandika hapa kwa sababu ushauri wenu ni muhimu sana kwangu, naamini sitotoka mtupu.
Karibuni wapendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app