Nateseka sana kwa tukio hili, ukipata nafasi ya kusaidia mtu msaidie kweli

Habari za mapambano ndg,wa familia moja ya jf?.kwanza nikupongeze kitu k1,kama umekaa na kufikiria ukatunga hii habari uko vzuri,lakini kama ni uhalisia pia nijambo ambalo lipo wala siyo uongo nimesha kutana na watu tofauti tofauti wenye case za kuhitaji Msaada mpaka unasafiri kifikra mbali sna.ila wapendwa niwape kitu ki 1 ambacho kitawasaidia ktk maisha na vizazi vyako,tujifunze kusaidia Mara kwa Mara wenye mahitaji maalum.pia niwakumbushe maana wengi wetu hatuna kipato cha uhakika ktk kusaidia unaweza ukafanya njia hii,kuanzia mwezi wa kwanza hadi mwezi wa 10 na mbili jichange weka kiasi kidogo cha Pesa kila siku,wiki,mwezi hadi ukifika mwisho wa mwaka ona kinacho stahiri kuwapelekea wenye mahitaji maalum katika vituo mf,kuna vitu ambavyo ni common havikwepeki nenda katembelee ktk kituo chochote ulizia kisha ondoka zako kanunue Mchele,maharagwe,nguo kulingana na size za wahusika na lika uliloona,wapelekee hiyo nisadaka kubwa mno alafu kaangalie sasa ktk kazi zako au biashara zako uone mungu atakavyo fanya vitu vyake.kisha urudi hapa utoe ushuhuda nanina kwambia hutakuja kuacha kutoa ukisha gundu siri hii.bwana awabariki ktk jina lake.
 
Kuna wakati unaweza kuwa una mawazo mambo kadhaa hayaendi Sawa, lkin ukakutana na mtu ukajiona wewe una upendeleo toka kwa Mungu aisee.

Kuna uzi mmoja wa mshana Jr anaongelea juu ya laana za familia na koo, huwa nauelewa sana ule uzi.

Manake kuna mtu unakutana nae alafu unabaki kujiuliza huyu kamkosea nini Mungu?

Wakuu kama wewe una Viungo vyote na afya mshukuru sana Mungu na kamwe usije kujilaumu eti huna kile wala hiki,. Afya yako na Viungo vyako ni utajiri tosha.

Mm sina kitu ila maadamu nina afya huwa nasema mm ni Tajiri na pesa ntapata tu.
 
Mimi nilisha wahi kutoa machozi sehemu nyingi, na ninamshukuru mungu hadi kufika hapa kwa wale wenyeji wa mwanza niliwahi kwenda kumtembelea mtu maeneo ya kisesa nimetoka bwiru hali niliyoikuta mungu ndo anajua nilikuwa na Elfu 5 ambayo ni fixed ya kurudi nilinunua vyakula siku hiyo na kisha ktk ile hela ilibaki 200 niliwatia moyo kisha nikaondoka nilitembea kwa mguu hapo nilipo ingia igoma nikapita nyuma ya kiwanda cha chuma nyakato steel Mara veta Mara kanisani katoriki hadi buzuruga kisha nikatoboa Miti mirefu alafu mabatini Mara mlango 1 nikatembea hadi empire.nilipo fika nilimshukuru mungu ila alama ilibaki moyoni baada ya miezi 6 nilipata kibarua ndo watu wakwanza kuwafikilia niliona nianze na kuwa saidi tulianzia kibanda chakuuza ukifika sokoni kisesa Njia kama unaenda bujora mkono wako wakushoto kuna soko pale ndo tulianza kupunguziana kwakile mungu alisema na mmi.nilijisikia amani sna baada yakutimiza kilichokuwa moyoni,hadi sasa nikifika wananiona kama sijui ninani hadi kwenda nilisha acha tunawasiliana tu maana unafika wanaangaika Mara kuku Mara hivi sasa mmi na waambia wamtolee mungu KUKU Elfu 10/15 sibora kununua sukari kumpelekea mwingine ambaye hajiwez ili cheni iendelee.sasa nasomesha watoto 2 wewe unafanyaje?hadi sasa yawezekana bado mungu ajakugusa kwakusoma hii mungu aseme na wewe.kwahiyo ndgu utakaye muona tena usimsaidie Pesa tu mtafute kaa naye piga stori naye kujua chimbuko lake kisha angalia namna ya kumsaidia hakika mungu hata kuacha.
 
Utakuta viongoz wa dini wanajisahau sna hili unakuta wameelemewa na vya dunia utakuta ktk nyumba ya mungu kiongoz anasema anataka gari la 50,100mill na nyumba ya kuishi yenye thamani kama gharama ya hela ya gari.amesahau kuwa wapo kondoo zake hata mlo 1 ni wakusua sua mbaya zaidi anaenda mbali zaidi hadi kuweka kiwango cha pesa kutoa kama sadaka isipungue kiasi frani je?akiwa hana sadaka asiende kuabudu?na kwanni asifikilie gahari ya gharama Mdogo na kusaidiana kwakile kilichopatikana kwa wenye mahitaji na kuwatembelea kondoo wako uone maisha wanayo ishi.kuna utofauti sna KUMTUMIKIA MUNGU na KUTUMIKIA DINI.mungu atusaidie sna
 
Kuna jamaa alikuja dukani kaniomba panadol 2 tu kaniambia anaumwa nimsaide alpo anza kuondoka nikamuita,the way alvokua anatembea hata sura mwili wake ulkua dhaifu sana inaonesha anaumwa sana nikamuulza umekula akajibu hapana kwa kutikisa kichwa nikampa mkate juice na maji daah alivokua anakula akimeza anakunja sura kwa kuonesha kwamba kuna maumivu anapata alposhiba akashukuru nikampa buku nikamwambia abebe na vyakula vyake akasepa zake

ukiamua kusaidia saidia kwa moyo mmoja hujui kesho yako
 
ndio maana huwa nafikiri na kijiridhisha kabisa kwamba Mungu hatujamuelewa bado.
tulichofanya ni kutengeneza sanamu kwa vile tunavyotaka tuione halafu tukaanza kuisifia kwamba inapendeza.tukaipa na class kwamba si rahisi kuigusa wala kuibusu,na wakati tumeichonga wenyewe.

kwa Mungu wote ni sawa,ndio maana utakufa bila hata sumni wala uzi wa nguo ya gharama uliyonunua.

tunaagizwa kusaidia watu mpaka point ya mwisho,sio ule ujinga wa wema usizidi uwezo,point ya kukosa wewe mwingine apate.

ubinafsi Mungu haupendi,ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano,kuliko TAJIRI(ubinafsi asili yake)kuingia mbinguni.

Dini ya kweli ni ile yenye kusaidia wajane na watoto.

tunyooshe mikono jaman Mungu atatuona.
Utakuta viongoz wa dini wanajisahau sna hili unakuta wameelemewa na vya dunia utakuta ktk nyumba ya mungu kiongoz anasema anataka gari la 50,100mill na nyumba ya kuishi yenye thamani kama gharama ya hela ya gari.amesahau kuwa wapo kondoo zake hata mlo 1 ni wakusua sua mbaya zaidi anaenda mbali zaidi hadi kuweka kiwango cha pesa kutoa kama sadaka isipungue kiasi frani je?akiwa hana sadaka asiende kuabudu?na kwanni asifikilie gahari ya gharama Mdogo na kusaidiana kwakile kilichopatikana kwa wenye mahitaji na kuwatembelea kondoo wako uone maisha wanayo ishi.kuna utofauti sna KUMTUMIKIA MUNGU na KUTUMIKIA DINI.mungu atusaidie sna
 
Kuna jamaa alikuja dukani kaniomba panadol 2 tu kaniambia anaumwa nimsaide alpo anza kuondoka nikamuita,the way alvokua anatembea hata sura mwili wake ulkua dhaifu sana inaonesha anaumwa sana nikamuulza umekula akajibu hapana kwa kutikisa kichwa nikampa mkate juice na maji daah alivokua anakula akimeza anakunja sura kwa kuonesha kwamba kuna maumivu anapata alposhiba akashukuru nikampa buku nikamwambia abebe na vyakula vyake akasepa zake

ukiamua kusaidia saidia kwa moyo mmoja hujui kesho yako
tena amini nakwambia ukisaidia kwa moyo Mungu hukuongezea ili uwe daraja kwa wengine.
 
Pole mkuu!!kuguswa kwako tu tosha umesaidia.pia umejifunza kitu kutokana na hilo tukio.saidi kadri uwezavyo ila usitangaze.m/mng kasema ukitoa mkono wa kulia basi wa kushoto usijue.
 
Ulimuoona maeneo gani? Unaweza kurudi na ukiulizia bodaboda wa hapo ,wauza maduka ,wapiga debe au wafanya biashara hapo.

Jaribu kum-describe wanaweza kukuambia if he is a regular maeneo hayo then acha namba yako wakimuona wakujulishe na uwasiliane nae kupanga umkute hapo umsaidie zaidi

NB: Kama hii issue ni genuine ningependa kusaidia pia.
Duh..Uko tofauti sana dada
 
Ukiwa na moyo wa kusaidia barabarani ,basi saidia tu ila hako katabia mi nilishaacha muda mrefu sanaaa. Daslam hapa kuna watu wamefanya swala la kuomba omba kama biashara kuna muda inafikia hujui nani mwenye shida , nani anaigiza.
Utaratibu wangu nikiguswa kutoa ni bora niende kwenye vituo vya watu/watoto wenye uhitaji.
Barabarani kuna genuine case na kuna nyingine ni miradi. Mimi nafsi yangu in most cases haiwi kunjufu kusaidia wanaoomba na infact sometimes huwa nawaambia wakaokote chupa. Ila zipo nyakati unaona kabisa kuwa unahitaji kusaidia, huwa nasaidia bila hiyana. Ushauri wangu, kama una nafasi na umepima uzito, just help them, ila wa barabarani wengi wao ule ni mradi kama ilivyo miradi mingine.
 
Kama ukimpata mpeleke hospital wakamwangalie kama kweli anaumwa, wengi huwa waongo maana wanajua watu wenye sura za huruma.

Kuna bibi mmoja alikuja ofisini anaomba msaada wa pesa ya kwenda kumlipia mwanae ili atoke hospitali.

Bahati alikuta namhudumia mteja ambaye alikuwa Daktari wa ward aliyokuwa anasema mwanaye amelazwa mule.

Yule Daktari akaanza kumuuliza na mwishowe ikawa yule mgonjwa alisharuhusiwa ila bibi anatumia nyaraka halali kuomba msaada wa mgonjwa ambaye alishapona.
 
ndio maana huwa nafikiri na kijiridhisha kabisa kwamba Mungu hatujamuelewa bado.
tulichofanya ni kutengeneza sanamu kwa vile tunavyotaka tuione halafu tukaanza kuisifia kwamba inapendeza.tukaipa na class kwamba si rahisi kuigusa wala kuibusu,na wakati tumeichonga wenyewe.

kwa Mungu wote ni sawa,ndio maana utakufa bila hata sumni wala uzi wa nguo ya gharama uliyonunua.

tunaagizwa kusaidia watu mpaka point ya mwisho,sio ule ujinga wa wema usizidi uwezo,point ya kukosa wewe mwingine apate.

ubinafsi Mungu haupendi,ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano,kuliko TAJIRI(ubinafsi asili yake)kuingia mbinguni.

Dini ya kweli ni ile yenye kusaidia wajane na watoto.

tunyooshe mikono jaman Mungu atatuona.
Mkorinto:uko sawa
 
Fanya kwa nafasi yako ila jua kuwa unakula na kusazaa,wapo walio lala bila kula.huko hatuendi natuvitaftavyo tutaviacha kwanni?tusifanye urafiki na yule tunayejiandaa kwenda kwake ktk matendo yaliyo -------.ktk huruma,upendo,kusaidia yaniii hivyooo.
 
Ombaomba wa vidonda feki wapo. Kuna mmoja alikuwa anabandika kipande cha ngozi mbichi ya mbuzi au ng'ombe tumboni, ule upande wenye damu unakuwa juu. Alikuwa akija dukani anafunua anasema anaomba fedha ya matibabu kwani kidonda kinazidi kulika. Mtu yeyote anayeona kama ana chochote ni lazima atoe haraka kwa mshtuko anaoupata. Mjini kuna ujanja mwingi. Ila kulingana na maelezo yako inawezekana huyo akawa ni mhanga wa madawa au maisha. Watu kama hao hata kuwapa fedha nyingi wakati mwingine inaweza kuwa kama kuwasukuma waendelee kuwa katika hiyo hali ili wasaidiwe. Njia bora ni kujua undani wake na kumsaidia kwenye kupata matibabu na kitu cha kuingiza kipato kila siku. Kumbuka hata hao wanaobandika ngozi baadhi yao mwanzoni walikuwa na vidonda vya kweli wakawa wanavitumia kuomba fedha lakini walipopona wakabuni njia mbadala ili kuendelea kuchuma.

Kuna mmoja alikuwa anaombea maeneo ya mataa pale Ubungo. Mguu mmoja umevimba si mchezo halafu una kidonda. Sasa yeye alikuwa anatumia kile kidonda kama mtaji wa kuombea. Miezi nenda rudi yuko pale.

Siku hizi hayupo maeneo yale.
 
Ukiwa na moyo wa kusaidia barabarani ,basi saidia tu ila hako katabia mi nilishaacha muda mrefu sanaaa. Daslam hapa kuna watu wamefanya swala la kuomba omba kama biashara kuna muda inafikia hujui nani mwenye shida , nani anaigiza.
Utaratibu wangu nikiguswa kutoa ni bora niende kwenye vituo vya watu/watoto wenye uhitaji.

Mkuu, kwani hivyo “vituo vya wenye uhitaji” vimeanzishwa kwa maslahi ya nani..?

Fikiria kidogo tu kuelewa mnufaika mkuu ni nani, maskini walemavu wanakodishwa vijijini huko na kuletwa kuanikwa juani mjini kama omba omba.... huku boss yupo kivulini kusubiri ‘hesabu’ jioni.

Usiku utapokwisha
 
Na ukiona huwezi kutoa 100 kwenye 500 yako jua hata ukiwa na mamilioni hutatoa vile vile, sababu hela haitoshagi kamwe na shida haziishagi.
Kweli kabisa ,pesa haijawahi kutosha
Nakumbuka Kuna mtoto wa jirani yangu kwa muda wa miaka 8 alikuwa anakuja kula nyumban kwangu Mara tatu kwa siku kwa sababu kwao walikuwa wanakula Mara Moja kwa siku
Sikuwa na hela ya kumpa lakin alikula kidogo nilichonacho pamoja na watoto wangu
Saidia nguo saidia chakula
 
Back
Top Bottom