asiekuwa na dhambi,anyooshe mkono juu.punguzeni hasira,kitendo alichokifanya ni kibaya mno,muhimu,mumueleweshe.na sio wengi wenu humu kujifanya mpo wasafi.ndio maana ukimkosea mtu,kuna kuomba msamaha.au mtu wako wa karibu,ukimuona anaenda ndivyo sivyo,unamkanya na huchoki kumkanya.wengine humu mnajifanya wasafi na mna wake zenu,lakini hamuishi kutongoza jf.muelewesheni tu basi.na wewe kijana huo mchezo achana nao,unazidi kujididimiza,maisha yenyewe magumu kila sehemu uzae.mtoto wa rafiki yako,ni sawa na mwanao,wengine hasira zao huwa mbaya unayoyafanya,unaweza hata ukauliwa.
huyu jamaa anajisifia kwa alicho kifanya ndio maana tunadiriki kumkashifu kiasi hicho. kwajinsi alivyo andika sio kana kwamba anaomba ushauri ni kama anajisifia kwa upumbavu wake sasa ww ukimpa moyo utasababisha aendelee kwa anayoyafanyaasiekuwa na dhambi,anyooshe mkono juu.punguzeni hasira,kitendo alichokifanya ni kibaya mno,muhimu,mumueleweshe.na sio wengi wenu humu kujifanya mpo wasafi.ndio maana ukimkosea mtu,kuna kuomba msamaha. Au mtu wako wa karibu,ukimuona anaenda ndivyo sivyo,unamkanya na huchoki kumkanya.wengine humu mnajifanya wasafi na mna wake zenu,lakini hamuishi kutongoza jf.
Muelewesheni tu basi.na wewe kijana huo mchezo achana nao,unazidi kujididimiza,maisha yenyewe magumu kila sehemu uzae.mtoto wa rafiki yako,ni sawa na mwanao,wengine hasira zao huwa mbaya unayoyafanya,unaweza hata ukauliwa.
Bila kupoteza muda wewe ni mshenzi na hutakiwi kuwepo katika hii jamii
Dunia ina mambo jamani.