fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,382
- 7,909
Hii ni stori ya kweli yaaani ni mimi mwenyewe, ni hadithi ndefu ila kwa kifupi ni kwamba natembea na binti wa rafiki yangu ila wazazi wake hawajui sasa yapata miaka 3 hivi, nilimsomesha hadi cheti kwenye chuo fulani, hivi navyoandika huu uzi nipo nae wazazi wake wakijua kuwa yuko kazini, ila nimempeleka akaishi kwa rafiki yangu mwingine, ndiko anakokaa.
Halikadhalika nina mpenzi mwingine yeye ni mke wa mtu natembea nae yapata miaka 4 nafanya kwa siri sana sasa akabeba mimba, nikawa naendelea kula tu mpaka akajifungua, watoto mapacha, walipofikisha umri wa miezi 8 sakaja nao hotelini maana tunaishi miji tofauti akaniambia wanao hawa, duh acha nistuke ila dalili ni wazi watoto ni wangu, hapa sasa nimemiksi,
Je, wazazi wa yule binti wakijua kuwa mie rafiki yao natembea na mtoto wao sijui itakuwaje na yule jamaa akijua kuwa watoto si wake itakuwaje na mke wangu wa ndoa akijua hayo sijui itakuwaje.
Je, nifanyeje nijinasue kwenye kizaazaa hiki, naomba mawazo
Halikadhalika nina mpenzi mwingine yeye ni mke wa mtu natembea nae yapata miaka 4 nafanya kwa siri sana sasa akabeba mimba, nikawa naendelea kula tu mpaka akajifungua, watoto mapacha, walipofikisha umri wa miezi 8 sakaja nao hotelini maana tunaishi miji tofauti akaniambia wanao hawa, duh acha nistuke ila dalili ni wazi watoto ni wangu, hapa sasa nimemiksi,
Je, wazazi wa yule binti wakijua kuwa mie rafiki yao natembea na mtoto wao sijui itakuwaje na yule jamaa akijua kuwa watoto si wake itakuwaje na mke wangu wa ndoa akijua hayo sijui itakuwaje.
Je, nifanyeje nijinasue kwenye kizaazaa hiki, naomba mawazo