Natatizo la kusinzia popote muda wowote hasa ninapokuwa sina kishughuli chakuni ni fanya niwe buzy

cilla

JF-Expert Member
Jul 15, 2011
369
296
Nataka kujua sababu inayonifanya nisinzie bila mpango.kitugani kina sababisha,na tiba ni nini.tatizo hili lilianza wakati nilipokuwa darasa la tatu,nikaanza kujikuta nasinzia wakati mwalimu anafundisha au kama darasa limepoa na ukimya,aunaweza kusinzia kwenye basi nakupitiliza kituo.nilifaulu darasa la saba tena kwa maksi za juu sana lakini nilipoenda sekondari nilipata shida sana kujisomea kitu kilicho sababisha kufeli.
Ghafla nikaanza kujiona uwezo wangu wa kumbukumbu umepungua sio kama zamani nilikuwa nauwezo wakukumbuka vitu vingi kwa wakati mmoja.naomba mnisaidie kitaalam
 
Try to keep yourself busy the whole day by having a planned timetable for each day.
Polee, mwanzoni nilivyosoma thread yako Nilihisi ya kuwa wewe ni mjamzito
.
 
Nataka kujua sababu inayonifanya nisinzie bila mpango.kitugani kina sababisha,na tiba ni nini.tatizo hili lilianza wakati nilipokuwa darasa la tatu,nikaanza kujikuta nasinzia wakati mwalimu anafundisha au kama darasa limepoa na ukimya,aunaweza kusinzia kwenye basi nakupitiliza kituo.nilifaulu darasa la saba tena kwa maksi za juu sana lakini nilipoenda sekondari nilipata shida sana kujisomea kitu kilicho sababisha kufeli.
Ghafla nikaanza kujiona uwezo wangu wa kumbukumbu umepungua sio kama zamani nilikuwa nauwezo wakukumbuka vitu vingi kwa wakati mmoja.naomba mnisaidie kitaalam

hebu jikague vyema kisha jiulize mimi ni mfu, msukule au mtu mzima?
Kisha baada ya hapo unifuate.
 
Nataka kujua sababu inayonifanya nisinzie bila mpango.kitugani kina sababisha,na tiba ni nini.tatizo hili lilianza wakati nilipokuwa darasa la tatu,nikaanza kujikuta nasinzia wakati mwalimu anafundisha au kama darasa limepoa na ukimya,aunaweza kusinzia kwenye basi nakupitiliza kituo.nilifaulu darasa la saba tena kwa maksi za juu sana lakini nilipoenda sekondari nilipata shida sana kujisomea kitu kilicho sababisha kufeli.
Ghafla nikaanza kujiona uwezo wangu wa kumbukumbu umepungua sio kama zamani nilikuwa nauwezo wakukumbuka vitu vingi kwa wakati mmoja.naomba mnisaidie kitaalam

Tatizo lako linaitwa Tripanosomiasis nenda hospitali utapata matibabu. Reference: Tripanosoma
 
Nataka kujua sababu inayonifanya nisinzie bila mpango.kitugani kina sababisha,na tiba ni nini.tatizo hili lilianza wakati nilipokuwa darasa la tatu,nikaanza kujikuta nasinzia wakati mwalimu anafundisha au kama darasa limepoa na ukimya,aunaweza kusinzia kwenye basi nakupitiliza kituo.nilifaulu darasa la saba tena kwa maksi za juu sana lakini nilipoenda sekondari nilipata shida sana kujisomea kitu kilicho sababisha kufeli.
Ghafla nikaanza kujiona uwezo wangu wa kumbukumbu umepungua sio kama zamani nilikuwa nauwezo wakukumbuka vitu vingi kwa wakati mmoja.naomba mnisaidie kitaalam

Punguza kula sana Ugali ndugu yangu. Kuna jamaa alikuwa na tatizo hilo hilo enzi tukiwa shule, yani yeye akishatandika ugali, ni kusinzia tu popote pale alipo na kutokwa na miudenda. tukampa jina la miunga. unga->ugali
 
Nataka kujua sababu inayonifanya nisinzie bila mpango.kitugani kina sababisha,na tiba ni nini.tatizo hili lilianza wakati nilipokuwa darasa la tatu,nikaanza kujikuta nasinzia wakati mwalimu anafundisha au kama darasa limepoa na ukimya,aunaweza kusinzia kwenye basi nakupitiliza kituo.nilifaulu darasa la saba tena kwa maksi za juu sana lakini nilipoenda sekondari nilipata shida sana kujisomea kitu kilicho sababisha kufeli.
Ghafla nikaanza kujiona uwezo wangu wa kumbukumbu umepungua sio kama zamani nilikuwa nauwezo wakukumbuka vitu vingi kwa wakati mmoja.naomba mnisaidie kitaalam

Una kitu kinaitwa uchovu sugu (chronic fatigue), mara nyingi hutokea ikiwa unapendelea kunywa vinywaji vyenye kaffeina, kaffeina hupatikana katika chai ya rangi, kahawa na vinywaji vingi vya viwandani. Kaffeina huulazimisha mwili kutumia hifadhi ya akiba ya nguvu (stored energy) na kukuacha wewe u mchovu kila mara, hizo ni dalili tu, tatizo lenyewe litafuata.

Anza leo kila nusu saa kabla ya kula chakula chochote kunywa maji glasi 2 (500 ml) na kisha hesabu masaa 2 au 2 na nusu kila baada ya chakula na unywe tena glasi 1 ya maji. kunywa maji kabla ya kusikia kiu, usinywe maji ya baridi.

maajabuyamaji2.artisteer.net
 
Back
Top Bottom