ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,660
Habarini.....
Kila mmoja huwa na Ndoto katika maisha yake na hizo humfanya asilale akiwaza namna ya Kufanikisha
Nina Ndoto za Kuja Kugombea Ubunge Jimboni kwangu ndani ya Miaka 5 ijayoo! Nina amini katika elimu ili uweze kuongoza kundi kubwa la watu na uweze kuwa na FACTS katika Kuchangia maada hata kutafuta njia mbali mbali za kuwanufaisha wananchi wako! Japo sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika( Naamini hii iliwekwa kwa wenye pesaa na sheria hii imekaa kirushwa rushwa) Hivyo mimi siku kukubaliana nayo sana! Nikaamua kwenda kusoma Nipate elimu walau niwe na Degree! Sasa nimemaliza kusoma nataka kutimiza ndoto yangu
Mimi si Mwanachama wa Chama chochote hadi sasa na Sijawahi Miliki kadi ya uanachama wa chama chochote kilee hadi sasa! Sijawahi hudhuria vikao vyovyote vile vya kisiasa wala mikutano yoyote ile ya kisiasa! Sijafanya kitu chochote cha kuleta maendeleo jimboni kwangu hadi sasa maana sitambuliki kwa chochote kile zaidi ya kuwa ni mwananchi wa jimbo husika! Sijawahi Hudhuria mikutano ya kijiji wala sijawahi kuongea chochote na viongozi wangu wa kijiji kuhusu maendeleo ya kijiji chetu! Nilikuwa nawaza nipate shule kwanza mengine yatafuata
Sijawahi Piga Kura wala kufanya kampeni ya chama chochote kileee! Sijawahi onesha msimamo aangu kisiasa na Chama nacho kiamini kwasababu nilikuwa natamani nifanikiwe kwanza katika Shule! wazazi wangu hawajawahi kuwa wanasiasa wala wafuasi wa chama chochote kile
Sijawahii jichanganya sana na wananchi wa jimboni kwangu kwa chochote zaidi ya kushiri misiba na harusi pale napoweza sababu ya Shule!
Sasa Nahitaji kugombea Ubunge kwa Miaka 5 ijayoo japo kwa sasa Kipato changu ni chini ya Millioni Moja Kwa Mwezi!
Nipo hapa Kuomba Ushauri,Njia mahususi za kupitia,vitu vya kufanya ili niweze kuja kuwania ubunge na Kushinda! Hii ni ndoto lakini nataka iwe kwelii
Najua hapa Kuna wabunge,Waziri,viongozi mbalimbali na wananchi wa kawaida ambao watanishauri vyema ili ndoto yangu itimie!
Swali Kubwa je nifanyaje ili ndoto yangu ya kuwania Ubunge baada ya miaka 5 itimie?
Nasoma Comments zenu hapa nakujibu maswali pale inapohitajika
Nawasilisha
Kila mmoja huwa na Ndoto katika maisha yake na hizo humfanya asilale akiwaza namna ya Kufanikisha
Nina Ndoto za Kuja Kugombea Ubunge Jimboni kwangu ndani ya Miaka 5 ijayoo! Nina amini katika elimu ili uweze kuongoza kundi kubwa la watu na uweze kuwa na FACTS katika Kuchangia maada hata kutafuta njia mbali mbali za kuwanufaisha wananchi wako! Japo sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika( Naamini hii iliwekwa kwa wenye pesaa na sheria hii imekaa kirushwa rushwa) Hivyo mimi siku kukubaliana nayo sana! Nikaamua kwenda kusoma Nipate elimu walau niwe na Degree! Sasa nimemaliza kusoma nataka kutimiza ndoto yangu
Mimi si Mwanachama wa Chama chochote hadi sasa na Sijawahi Miliki kadi ya uanachama wa chama chochote kilee hadi sasa! Sijawahi hudhuria vikao vyovyote vile vya kisiasa wala mikutano yoyote ile ya kisiasa! Sijafanya kitu chochote cha kuleta maendeleo jimboni kwangu hadi sasa maana sitambuliki kwa chochote kile zaidi ya kuwa ni mwananchi wa jimbo husika! Sijawahi Hudhuria mikutano ya kijiji wala sijawahi kuongea chochote na viongozi wangu wa kijiji kuhusu maendeleo ya kijiji chetu! Nilikuwa nawaza nipate shule kwanza mengine yatafuata
Sijawahi Piga Kura wala kufanya kampeni ya chama chochote kileee! Sijawahi onesha msimamo aangu kisiasa na Chama nacho kiamini kwasababu nilikuwa natamani nifanikiwe kwanza katika Shule! wazazi wangu hawajawahi kuwa wanasiasa wala wafuasi wa chama chochote kile
Sijawahii jichanganya sana na wananchi wa jimboni kwangu kwa chochote zaidi ya kushiri misiba na harusi pale napoweza sababu ya Shule!
Sasa Nahitaji kugombea Ubunge kwa Miaka 5 ijayoo japo kwa sasa Kipato changu ni chini ya Millioni Moja Kwa Mwezi!
Nipo hapa Kuomba Ushauri,Njia mahususi za kupitia,vitu vya kufanya ili niweze kuja kuwania ubunge na Kushinda! Hii ni ndoto lakini nataka iwe kwelii
Najua hapa Kuna wabunge,Waziri,viongozi mbalimbali na wananchi wa kawaida ambao watanishauri vyema ili ndoto yangu itimie!
Swali Kubwa je nifanyaje ili ndoto yangu ya kuwania Ubunge baada ya miaka 5 itimie?
Nasoma Comments zenu hapa nakujibu maswali pale inapohitajika
Nawasilisha