Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu,
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi kwamba nimechoka kuwa vuvuzela na badala yake naingia ulingoni kugombea udiwani katika kata moja ya huko Kwetu kwa tiketi ya Chadema.
Hivi ninavyoandika hapa nimeshachukua fomu na niko katika mchakato wa kupata wadhamini 25 kwa ajili ya kukamilisha taratibu za chama changu.
Nimechoka kukaa nikilalamika tu hapa JF lakini nimedhamilia kuwa mpinzani wa kweli wa serikali ya Kikwete. Sihitaji kuwa Vuvuzela hapa JF, bali nataka kufanya kwa vitendo.
Nawashauri wana JF wengi tujitolee kuingia katika uwanja wa mapambano haya bila uoga. Wanahitajika wabunge na madiwani wengi tu sasa. Nchi yetu inatuhitaji sana kama wakombozi. Si vema kuendelea kupiga kelele hapa bila kuchukua hatua.
Kwa wale wana Chadema walio nje ya nchi na wanaweza kuja kuingia katika vita hii ya October waje tushirikiane. Wale wasioweza watu support kwa shekeli au waje wawe mawakala wetu.
Tuendelee kuombeana ushindi.
MF
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi kwamba nimechoka kuwa vuvuzela na badala yake naingia ulingoni kugombea udiwani katika kata moja ya huko Kwetu kwa tiketi ya Chadema.
Hivi ninavyoandika hapa nimeshachukua fomu na niko katika mchakato wa kupata wadhamini 25 kwa ajili ya kukamilisha taratibu za chama changu.
Nimechoka kukaa nikilalamika tu hapa JF lakini nimedhamilia kuwa mpinzani wa kweli wa serikali ya Kikwete. Sihitaji kuwa Vuvuzela hapa JF, bali nataka kufanya kwa vitendo.
Nawashauri wana JF wengi tujitolee kuingia katika uwanja wa mapambano haya bila uoga. Wanahitajika wabunge na madiwani wengi tu sasa. Nchi yetu inatuhitaji sana kama wakombozi. Si vema kuendelea kupiga kelele hapa bila kuchukua hatua.
Kwa wale wana Chadema walio nje ya nchi na wanaweza kuja kuingia katika vita hii ya October waje tushirikiane. Wale wasioweza watu support kwa shekeli au waje wawe mawakala wetu.
Tuendelee kuombeana ushindi.
MF