Huko unakokimbilia mbona wana uchaguzi mkuu mwakani, au umesahau machafuko ya 2007/8?Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
kwa nini umekuwa mkenya?Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
Tatizo nini kwani??
hongera kaka kuwa mkenya nikuchagulie pa kuishi nenda eldoreti au kisumu na kipindi cha election usirudi tzwewe unaonekna utakuwa na kitambi.....ndio maana