Natangaza rasmi kuwa nipo upande wa Edward Lowasa

Yule

Member
May 4, 2012
14
5
Katika umri wangu huu, mawaziri wakuu ambao nawakumbuka kiutendaji ni Sumai, Lowasa na sasa Pinda. Kati ya hawa, Lowasa peke yake ndie alie kuwa waziri mkuu kamili. Alikuwa ana uwezo wa kuamua jambo ili mradi mambo yaende na angekuwa mpaka leo ni waziri mkuu, tungekuwa mbali
 
Yule, umekujaje bila ata ya hodi??? Hivi ata kama unaingia kwako si nivyema ubishe hodi maana unawezakuta mama ko yuko uchi jamani? Alafu unaingia umelewa chakali kama ulivyokuja na Bangi yako et???
 
Katika umri wangu huu, mawaziri wakuu ambao nawakumbuka kiutendaji ni Sumai, Lowasa na sasa Pinda. Kati ya hawa, Lowasa peke yake ndie alie kuwa waziri mkuu kamili. Alikuwa ana uwezo wa kuamua jambo ili mradi mambo yaende na angekuwa mpaka leo ni waziri mkuu, tungekuwa mbali

nchi hii ingeshachukuliwa na chadema au jeshi.
 
Lowassa yuko CCM hivyo kama uko upande wa Lowassa maana yake na wewe uko CCM. Lakini kumbuka CCM yote imeoza, au tutumie maneno; tatizo sio mvinyo ila chupa!
 
umesema neno,bro Edo ukiondoa mambo ya ufisadi alikua na uwezo wa kusimamia maagizo anayotoa bila kuchoka,aliogopwa na laiti km angelikuwepo mpaka leo hz shule za kata zingepiga maendeleo makubwa,Afadhali EL alichagua agenda ya kupigania elimu hawa wengine ndo hawaeleweki kabisa,hawana hata agenda.
 
Katika umri wangu huu, mawaziri wakuu ambao nawakumbuka kiutendaji ni Sumai, Lowasa na sasa Pinda. Kati ya hawa, Lowasa peke yake ndie alie kuwa waziri mkuu kamili. Alikuwa ana uwezo wa kuamua jambo ili mradi mambo yaende na angekuwa mpaka leo ni waziri mkuu, tungekuwa mbali
Sishangai. nasuikia EL ana "vijana wake" wa kiume ambao ni wewe na mbunge mmoja kutoka Kigoma
 
Viva Lowasa''''''' ulisisimamia vema ujenzi wa shule za kata mpaka ukamzidi mkuu wa nchi,,, leo mtoto wa kata anapata elimu pale alipo japokuwa walimu imekuwa changamoto,,,,,, lakini daima mimi bianfsi nakupa pongezi ,,,,, pindi chama chako kikikupitisha kuwa Rais 2015 mimi nikupa kura za'''''' ndiyo'''''''' hongera sana kwa uchapakazi wako....
 
Bora umetanguliza maneno haya "kwa umri wangu..." kwa hiyo wewe Sokoine ni sawa na George Washington.
 
Katika umri wangu huu, mawaziri wakuu ambao nawakumbuka kiutendaji ni Sumai, Lowasa na sasa Pinda. Kati ya hawa, Lowasa peke yake ndie alie kuwa waziri mkuu kamili. Alikuwa ana uwezo wa kuamua jambo ili mradi mambo yaende na angekuwa mpaka leo ni waziri mkuu, tungekuwa mbali

Huyu ndiyo nani tena?
 
viva lowasa''''''' ulisisimamia vema ujenzi wa shule za kata mpaka ukamzidi mkuu wa nchi,,, leo mtoto wa kata anapata elimu pale alipo japokuwa walimu imekuwa changamoto,,,,,, lakini daima mimi bianfsi nakupa pongezi ,,,,, pindi chama chako kikikupitisha kuwa rais 2015 mimi nikupa kura za'''''' ndiyo'''''''' hongera sana kwa uchapakazi wako....

lowasa ni fisadi hata km umwososhe kwa stiliwaya....mwizi achomwe moto kabisa
 
Yap! Kweli umechoka kufikiri..lowasa n fisadi na ni raisi wa mafisadi Duniani hafai hata kuwa kiongozi wa mitaa...tamaa kama fisi
 
Back
Top Bottom