britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica