Uchaguzi 2020 Natangaza rasmi kumpigia kampeni yeyote atakayesimama dhidi ya Magufuli kwenye Kinyang'anyiro cha Urais 2020 akawa serious

Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.

Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?

Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya

Britannica
Kwani na wewe ulitumbiliwa?
 
Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.

Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?

Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya

Britannica
Km wewe NI mwanachama wa CCM naamini ni wale wenye KADI simply kwa kuaminika kuwa ukiwa nayo NI sawasawa na DRIVING LICENCE YA MAMBO YAKO....
KINYUME chake mwanachama asiye MFU anakielewa CHAMA kinagaubaga....kwa wanaokipenda sana CHAMA CHETU huwa TUNA MADARASA YA ITIKADI...
MADARASA ya ITIKADI yakizama vema mishipani kamwe HUTOKUWA MFURAHISHA GENGE KM WEWE,KALAGHABAHO!!
 
Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.

Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?

Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya

Britannica
ongezea na NYALANDU.Jamaa yuko vizuri
 
Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.

Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?

Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya

Britannica
Wanaomshanga MREMA HUKU KUMENOGA
 
mngetumia mda huu kumaliza mzozo wenu wa nani agombee maaana ccm washamaliza yao sasa mnasubiriwa nyie, kama ni membe semeni tu kwan shida iko wap
 
yaaani we unawaza atakaempigia kura magu wakati sisi tunawaza tunamuongezeaa vipi awamu 6 zingine baada ya hii ya october
ebu pitia kwanza apa: The third term call for Magufuli refuses to die
Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.
Huyo jiwe wenu ni sumu kwa taifa na kuendelea kuruhusu kuwepo kwenye ile ofisi ni laana kwa nchi
 
Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.
Huyo jiwe wenu ni sumu kwa taifa na kuendelea kuruhusu kuwepo kwenye ile ofisi ni laana kwa nchi
Wacha tuwe wapumbavu ila ukweli ni mengi mazuri Magufuli kafanya kulinganisha na mabaya.
Suala la ajira na kutopandisha mishahara hivi vimetufanya tufikilie nje ya box yaan tusiwe watumwa wa kuwaza waza ajira.

Alafu nikwambie kitu "Nchi yoyote inapotaka kupiga hatua ki maendeleo ni lazima tu wawepo watao umia ili wengi waje wafurahie baadae".
 
Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.
Huyo jiwe wenu ni sumu kwa taifa na kuendelea kuruhusu kuwepo kwenye ile ofisi ni laana kwa nchi

tunataka uyo sumu aongezewe awamu nne zingine
 
britanicca,

Mbona mgombea umemwacha? au hujui ni Lazaro Nyalandu? na ameshaeleza mambo atakayofanya ndani ya siku 100 za kwanza
(0) Watanzania kwanza - Kila Mtanzania awe na furaha katika nchi yake
(1) Maridhiano ya Kitaifa
(2) Kukamilisha Mchakato wa Katiba ya Wananchi
(3) Kurekebisha sheria zinazozuia dhamana.
britanicca naomba uweke vipaumbele vya hao uliowaorodhesha tupime?
Kashakatwa
 
Kwani na wewe ulitumbiliwa?
Atakuwa alitumbuliwa mihasira yake ndio anaileta sasa akipotea muda mrefu sana .Uhakika atakuwa alitumbuliwa au aliondolewa kadawati kenye tu maruprupu kibao!!! Hasira alizokuja Nazi ni za mtu aliyetumbuliwa au.kuondoshwa kiti chenye asali

Aende zake huko hiyo kura yako mleta mada Mimi CCM siitaki .nilishasema humu Mimi binafsi kura za vyeti feki waliotumbuliwa na hawa watumbuliwa kama mleta mada kura zenu sitaki ni nuksi kabisa kawapeni huko wengine sio CCM
 
Back
Top Bottom