Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 947
- 1,675
britanicca upo kada kindakindaki? Potea sana
Kwani na wewe ulitumbiliwa?Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica
Km wewe NI mwanachama wa CCM naamini ni wale wenye KADI simply kwa kuaminika kuwa ukiwa nayo NI sawasawa na DRIVING LICENCE YA MAMBO YAKO....Mimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica
ongezea na NYALANDU.Jamaa yuko vizuriMimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica
Wanaomshanga MREMA HUKU KUMENOGAMimi ni mwanachama wa CCM ila mwaka huu 2020 Sijali chama, sijali itikati bali nitajali nia yake dhidi ya Mabaya yoote anayofanya Magufuli.
Bado nawapima
Lissu?
Membe?
Zitto?
Lakin angalizo sera za wapinzani wake zikiwa siyo safi ntakaa Kim ya
Britannica
Bado hawajawa wagombea bado tunasubiri wapitishwe, lakin hakuna mtu mwenye akili timamu atampigia magufuli kura
Mimi nitampigia.Bado hawajawa wagombea bado tunasubiri wapitishwe, lakin hakuna mtu mwenye akili timamu atampigia magufuli kura
Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.yaaani we unawaza atakaempigia kura magu wakati sisi tunawaza tunamuongezeaa vipi awamu 6 zingine baada ya hii ya october
ebu pitia kwanza apa: The third term call for Magufuli refuses to die
Wacha tuwe wapumbavu ila ukweli ni mengi mazuri Magufuli kafanya kulinganisha na mabaya.Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.
Huyo jiwe wenu ni sumu kwa taifa na kuendelea kuruhusu kuwepo kwenye ile ofisi ni laana kwa nchi
Una mawazo ya kijinga hakuna mfano, watumishi wa umma for almost 5yrs hawajui nyongeza ya mshahara wakati bei za bidhaa zinapanda, wakulima wanapoteza uhakika wa mazao yao, wavuvi wanaitwa majangili na nyavu zao zi azolipiwa kodi wanakamatwa nazo huku vijana wanamaliza masomo hawana ajira? Wewe usemayo haya lazima uwe mpumbaf kabisa mbele ya jamii hii.
Huyo jiwe wenu ni sumu kwa taifa na kuendelea kuruhusu kuwepo kwenye ile ofisi ni laana kwa nchi
Kashakatwabritanicca,
Mbona mgombea umemwacha? au hujui ni Lazaro Nyalandu? na ameshaeleza mambo atakayofanya ndani ya siku 100 za kwanza
(0) Watanzania kwanza - Kila Mtanzania awe na furaha katika nchi yake
(1) Maridhiano ya Kitaifa
(2) Kukamilisha Mchakato wa Katiba ya Wananchi
(3) Kurekebisha sheria zinazozuia dhamana.
britanicca naomba uweke vipaumbele vya hao uliowaorodhesha tupime?
Ni kweli kura hazikutosha ila vipaumbele vyake nimevikubaliKashakatwa
KabisaaaNakazia britanicca
Kuna uchaguzi? Hapo ndio lilipo tatizo la msingi.
Atakuwa alitumbuliwa mihasira yake ndio anaileta sasa akipotea muda mrefu sana .Uhakika atakuwa alitumbuliwa au aliondolewa kadawati kenye tu maruprupu kibao!!! Hasira alizokuja Nazi ni za mtu aliyetumbuliwa au.kuondoshwa kiti chenye asaliKwani na wewe ulitumbiliwa?
Kivipbritanicca,
Umeshafeli bwashee!