Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,874
Mimi Abdul Nondo,nina tangaza rasmi bila kulazimishwa namtu yeyote.
kuhama nyumbani na nimeamua kuhamia kwa jirani yetu baba Juma ,sababu maendeleo anayoyapata ndio yale ambayo tumekuwa tukiyapigania Nyumbani bila mafanikio,hivyo nimeamua kuhamia kwa jirani yetu Baba Juma ili kumuunga mkono kwa jitihada zake.
Abdul Nondo.
kuhama nyumbani na nimeamua kuhamia kwa jirani yetu baba Juma ,sababu maendeleo anayoyapata ndio yale ambayo tumekuwa tukiyapigania Nyumbani bila mafanikio,hivyo nimeamua kuhamia kwa jirani yetu Baba Juma ili kumuunga mkono kwa jitihada zake.
Abdul Nondo.