kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
Ndugu wanajamii,
Napenda kuwatangazia kuwa leo nimeungana rasmi na wanajamii waliotangaza nia ya kugombea ubunge mwaka huu kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)(Mnyika, Saitama Kein, Tonge, GS).
Nimechukua fomu za awali ili niweze kupendekezwa na chama changu kugombea ubunge katika jimbo la Kalenga katika mkoa wa Iringa.
Kalenga ni moja ya majimbo mawili yaliyopo katika wilaya ya Iringa vijijini jingine likiwa Isimani linaloongozwa na Lukuvi. Natambua chanagamoto zinazotukabili upinzani lakini naamini inshaalah mwaka huu tutawatoa jasho ili ile asimiia zaidi ya 60 ya wabunge (of course wa CCM) tuwaondoe ifikapo oktoba.
Ni imani yangu kuwa wale wote wenye mapenzi mema na hatma ya njii hii watatuunga mkono. Kwa wale wote wenye taarifa zozote kuhusu jimbo hili ambazo wanaona zitakuwa "opportunity" kwangu wasisite kunijulisha . Nategemea msaada wenu wa hali na mali.
Asanteni
Napenda kuwatangazia kuwa leo nimeungana rasmi na wanajamii waliotangaza nia ya kugombea ubunge mwaka huu kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)(Mnyika, Saitama Kein, Tonge, GS).
Nimechukua fomu za awali ili niweze kupendekezwa na chama changu kugombea ubunge katika jimbo la Kalenga katika mkoa wa Iringa.
Kalenga ni moja ya majimbo mawili yaliyopo katika wilaya ya Iringa vijijini jingine likiwa Isimani linaloongozwa na Lukuvi. Natambua chanagamoto zinazotukabili upinzani lakini naamini inshaalah mwaka huu tutawatoa jasho ili ile asimiia zaidi ya 60 ya wabunge (of course wa CCM) tuwaondoe ifikapo oktoba.
Ni imani yangu kuwa wale wote wenye mapenzi mema na hatma ya njii hii watatuunga mkono. Kwa wale wote wenye taarifa zozote kuhusu jimbo hili ambazo wanaona zitakuwa "opportunity" kwangu wasisite kunijulisha . Nategemea msaada wenu wa hali na mali.
Asanteni