engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
wana JF Baada ya waziri mkuu Mh Mizengo Kayanda Peter Pinda kuidhinisha posho nono kwa wabunge kutoka 70,000/- hadi 200,000/- kwa siku
Sasa natangaza Rasmi kugombea ubunge ktk jimbo lolote lile nitakalo ona kuwa mbunge wake hawezi kunisumbuwa ktk kupata kura kiurahisi
nawaomba WANAJF tusiingiline ktk majimbo hii ni zaidi ya posho
Sasa natangaza Rasmi kugombea ubunge ktk jimbo lolote lile nitakalo ona kuwa mbunge wake hawezi kunisumbuwa ktk kupata kura kiurahisi
nawaomba WANAJF tusiingiline ktk majimbo hii ni zaidi ya posho