msabato masalia
Senior Member
- Dec 3, 2008
- 118
- 20
Baada ya kutafakari na kuona siasa (za maji taka-kama CCM wanavyoziita) ambazo si za kuleta maendeleo bali habari za mipasho na "kumtafuta mchawi" kati ya Kagasheki MP na Mayor Amani. Na kwakuwa siasa zao zime-base kwenye kuwania kiti cha U-MP na wala hakuna lolote la maana zaidi ya kutaka kutumia ule msemo wa Laurent Desire Kabila-" Ntakuwa mtawala wa Congo either kwa msaada wa waasi, Mungu au shetani". Mayor Amani is just a corrupt guy so as his party (CCM) in which Kagashekiis a member.While Amani the former friend of the late frustrated Kabendera Shinani is "handpicked and made" by Kagasheki MP, Kagasheki is just a "handpicked and political made" guy form Father in law, Mzee Ruksa.These two guys belongs to the same criminal syndicate aka a family of organised crimes CCM. No one between the two has a clean backyard.