kwasababu chama kimekosa kabisa uelekeo na jk amekosa mvuto ndani na nje ya chama natangaza kuchukua fomu za ugombea wa uwenyekiti wa CCM taifa. Katika uongozi wangu ndani ya chama nitabadili mifumo ya kizamani ndani ya chama na kuingiza ya kisasa. vipaombele vitakuwa vitatu
1. kutatua tatizo la ajira kwa vijana
2.Chama kuendeshwa na vijana
3. kukuza uchumi utaomilikiwa na wananchi na wananchi walio wengi
MCHAGUE KING11 KUWA MWENYEKITI MPYA WA CCM KUOKOA TAIFA NA CHAMA CHA CCM
1. kutatua tatizo la ajira kwa vijana
2.Chama kuendeshwa na vijana
3. kukuza uchumi utaomilikiwa na wananchi na wananchi walio wengi
MCHAGUE KING11 KUWA MWENYEKITI MPYA WA CCM KUOKOA TAIFA NA CHAMA CHA CCM