Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Waungwana napenda kutangaza nia jimbo laTunduru kaskazini. wana CUF nawaomba mniunge mkono nagombea kwa tiketi ya CHADEMA. Jimbo la Tunduru lipo ktk lindi la umasikini. Nitatoa sababu za kugombea kwa siku za mbele na ilani. Napenda kuwasilisha