Ni kweli kaka Wananchi wa Rombo hawachezewi.
Ekellei,
Thanks
Leyana Lesindamu,
Hongera kwa kutumia haki yako kidemokrasia.Tujenge chama kwanza.Nina imani Rombo watajitokeza wagombea zaidi ya 30 hadi ifike 2015
Ila sikumbuki kuongea na mtu mwenye jina hili kuhusu jimbo la Rombo
Ben unafiki kwangu mwiko na nitasema kweli daima.Joseph Selasini ameshindwa kutatua changamoto za Rombo.Nilienda kikazi kule mwaka jana watu wengi wa kule wanamlaani.Ila nilifurahishwa na kitu kimoja kwamba wananchi wana imani kubwa na CDM kama chama lakini sio Selasini.Jitahidini kuzidi kuimarisha chama huko na hakikisheni mnaandaa vijana kugombea nafasi za udiwani ili 2015 muongoze halmashauri.Lakini andaeni mgombea wa ubunge anayefaa kwa haki Selasini hafai.Nawasilisha.