Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya kwangu.
Nikiwa Tegeta kwa Ndevu nasubiria gari kwenda Bunju kuonana na mafundi (site), katika pulukushani za kupanda daladala jamaa wakaiba 480,000 kutoka kwenye mkoba wangu.
Nimekuja kushutuka baada ya kuingia ndani ya gari.
Sasa ntangaza vita ya mtu mmoja (Solo War), dhidi ya vibaka wa Kwa Ndevu.
Nikiwa Tegeta kwa Ndevu nasubiria gari kwenda Bunju kuonana na mafundi (site), katika pulukushani za kupanda daladala jamaa wakaiba 480,000 kutoka kwenye mkoba wangu.
Nimekuja kushutuka baada ya kuingia ndani ya gari.
Sasa ntangaza vita ya mtu mmoja (Solo War), dhidi ya vibaka wa Kwa Ndevu.