aleesha JF-Expert Member Oct 17, 2016 776 1,121 May 2, 2019 Thread starter #261 smaki said: KIMYAAA, THUBUTUUUUU! USIRUDI TENA TUKO VIZURI, NA TUNAJUA KUWA TUNAJUA Click to expand... Sibishani na watanganyika mlopoteza dira
smaki said: KIMYAAA, THUBUTUUUUU! USIRUDI TENA TUKO VIZURI, NA TUNAJUA KUWA TUNAJUA Click to expand... Sibishani na watanganyika mlopoteza dira
smaki JF-Expert Member Jan 23, 2019 4,977 3,066 May 2, 2019 #262 aleesha said: Sibishani na watanganyika mlopoteza dira Click to expand... Hivi kumbe weye ulikuwa na mawazo ya kubishana shekhe? kwa nini ivo? Mie nalo fanya nikukuelekezenia njia iliyo nzuri ili mdumu katika Muungano wenu, Twawapendeni atii. mtatusaidia kwa mengi bwana weee, Japo mnatutukana sana. Msililie kuachwa kwenye muungano uliodumu miaka nenda rudi, siyo mambo mazuri, sipendi wala kfurahia nyie mjute Wazazi wetu waliungana, sasa siye watoto mwataka tutengane si nkorofi kweli? Acha hasira, mtashindwa vibaya, ebu niambie wewe unataka nini kwa mfano tukupe sasa hivi......
aleesha said: Sibishani na watanganyika mlopoteza dira Click to expand... Hivi kumbe weye ulikuwa na mawazo ya kubishana shekhe? kwa nini ivo? Mie nalo fanya nikukuelekezenia njia iliyo nzuri ili mdumu katika Muungano wenu, Twawapendeni atii. mtatusaidia kwa mengi bwana weee, Japo mnatutukana sana. Msililie kuachwa kwenye muungano uliodumu miaka nenda rudi, siyo mambo mazuri, sipendi wala kfurahia nyie mjute Wazazi wetu waliungana, sasa siye watoto mwataka tutengane si nkorofi kweli? Acha hasira, mtashindwa vibaya, ebu niambie wewe unataka nini kwa mfano tukupe sasa hivi......