Natamani waziri wa elimu kufuta matumizi ya simu kwa wanafunzi wa sekondari hapa nchini

GERMANY

Member
Jul 24, 2014
65
21
Matumizi ya simu za mkononi Ni miongoni mwa mapinduzi makubwa ya mawasiliano hapa nchini,aidha imerahisisha hats mfumo wa utumaji wa hela miongoni mwa watanzania wengi.

Pamoja na kurahisisha mawasiliano, matumizi ya simu yamekuwa na matokeo mabaya sana hasa kwa vijana wetu waliopo Mashuleni. Vijana wengi hasa wanaosoma shule za serikali Wako huru mno katika suala la mawasiliano na umiliki wa simu!

Vijana jutumia muda mwingingi katika kuchati, kutumiana message, kudownload videos, kusilikiliza miziki nk. Hii maanake inawapunguzia uwezo wa ujifunzaji na ufahamu wa mambo anayofundishwa,aidha na umakini wakati mwalimu anafundisha.
 
hakuna shule inayoruhusu matumizi ya simu kwa wanafunzi hao wanatumia kiwiziwizi tu.
 
Nakubalina na pia nadhani matumizi ya simu za mkono binafsi sisitumike makazini - sehemu nyingi zinapoteza muda wa uzalishaji
 
Kwa ulimwengu wa sasa kukataza mawasiliano ni kuto kuelewa. Mm nadhani ungeshauri kuanza kwa kuwaelekeza matumizi sahihi ya simu ili waelewe. Maana kama ni kufeli, watu walifeli hata enzi hizo hakuna simu. Na pia sio kila mwenye simu hufeli au asiye na simu hufaulu. Ni maoni yangu tu
 
Kwa ulimwengu wa sasa kukataza mawasiliano ni kuto kuelewa. Mm nadhani ungeshauri kuanza kwa kuwaelekeza matumizi sahihi ya simu ili waelewe. Maana kama ni kufeli, watu walifeli hata enzi hizo hakuna simu. Na pia sio kila mwenye simu hufeli au asiye na simu hufaulu. Ni maoni yangu tu
Kwel mkuu
 
Back
Top Bottom