Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

Anana_

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2024
Posts
208
Reaction score
621
Wakuu, nimefanikiwa kutembea baadhi ya mikoa vijijini kama Dodoma, Kagera, Kigoma, na Mara.

Hali ya watanzania wenzetu vijijini hairidhishi, nawaza hata tungeanzisha visanduku vya misaada ya nguo ambazo hatuna matumizi nazo ili ziwasaidie wengine huko.

Najua wengi tuna nguo ambazo zipo tuu kwenye kabati na hatuzitumii, natamani tufanye hiki kitu, sio lazima kusubir misaada kutoka nje ikiwa hata hiki kidogo tunaweza kusaidiana sisi kwa sisi
 
Wakuu, nimefanikiwa kutembea baadhi ya mikoa vijijini kama Dodoma, Kagera, Kigoma, na Mara.
Hali ya watanzania wenzetu vijijini hairidhishi, nawaza hata tungeanzisha visanduku vya misaada ya nguo ambazo hatuna matumizi nazo ili ziwasaidie wengine huko.
Najua wengi tuna nguo ambazo zipo tuu kwenye kabati na hatuzitumii, natamani tufanye hiki kitu, sio lazima kusubir misaada kutoka nje ikiwa hata hiki kidogo tunaweza kusaidiana sisi kwa sisi
kanisa katoliki wana utaratibu wa aina hiyo,
mara nyingi wanaufanya kipindi cha kwaresma ingawa hawazuiwi kufanya hivyo wakati wowote unaofaa,

nadhani kwa kuanzia,
unaweza kuanza nao na hatimae malengo na nia yako njema ikatimia kwa ufanisi zaidi.

Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa ukarimu na huruma kwa wahitaji 🐒
 
Wakuu, nimefanikiwa kutembea baadhi ya mikoa vijijini kama Dodoma, Kagera, Kigoma, na Mara.
Hali ya watanzania wenzetu vijijini hairidhishi, nawaza hata tungeanzisha visanduku vya misaada ya nguo ambazo hatuna matumizi nazo ili ziwasaidie wengine huko.
Najua wengi tuna nguo ambazo zipo tuu kwenye kabati na hatuzitumii, natamani tufanye hiki kitu, sio lazima kusubir misaada kutoka nje ikiwa hata hiki kidogo tunaweza kusaidiana sisi kwa sisi
Mimi pia ninazo nyingi sana zimenibana na ni mpya kabisa nyingine nimezichoka tuu
 
Wakuu, nimefanikiwa kutembea baadhi ya mikoa vijijini kama Dodoma, Kagera, Kigoma, na Mara.
Hali ya watanzania wenzetu vijijini hairidhishi, nawaza hata tungeanzisha visanduku vya misaada ya nguo ambazo hatuna matumizi nazo ili ziwasaidie wengine huko.
Najua wengi tuna nguo ambazo zipo tuu kwenye kabati na hatuzitumii, natamani tufanye hiki kitu, sio lazima kusubir misaada kutoka nje ikiwa hata hiki kidogo tunaweza kusaidiana sisi kwa sisi
Wazo nzuri sana hili na tulifanyie kazi.
 
Si unaijua AMO eeh, zamani walikuwa wamoja ila siku hizi AMO kivyao na DORCAS kivyao. Magereza, watoto yatima na nyumba za wazee huwa tunawatembelea sana.
ndio naijuia,, huu utaratibu naufaham maana nimeufanya sana miaka ya nyuma wakati niko PFC shetan akaona nafaidi sana si akanichachua nikahasi na kusali kabisa😪,, ila nimeanza kurudi
 
ndio naijuia,, huu utaratibu naufaham maana nimeufanya sana miaka ya nyuma wakati niko PFC shetan akaona nafaidi sana si akanichachua nikahasi na kusali kabisa😪,, ila nimeanza kurudi
Hizo episodes zipo sana, unaasi unarudi, unakaa kidogo unarudia tena kazi za shetani😅
 
Back
Top Bottom