Natamani wanaume wateke maji badala ya wanawake!

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Sasa ni miaka 51 ya uhuru wa Tanganyika na yaelekea shida ya maji haina suluhisho. Tumezowea kusikia akina mama wa vijijini wakihangaika kutafuta maji kwa matumizi ya nyumbani lakini pana akina mama wa Tabora mjini nao ni kama wanaishi vijijini kwa adha ya maji ndio maana naona sasa ni zamu ya akina baba kutafuta maji kwa matumizi ya nyumbani.
IMAG0124.JPG
 
Back
Top Bottom