Natamani utawala wa Magufuli uzidi kushindwa kabisa ili wananchi wapate akili

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Naeleza hisia zangu kama mtanzania mwenye haki ya kutoa maoni
Uzi huu hauna chembechembe yoyote ya uchochezi

Mimi ni miongozi mwa watanzania niliezaliwa enzi za utawala wa awamu ya pili
Kwa kumbukumbu zangu tawala zote kuanzia ya 2 mpaka ya 4 watanzania tuliishi vizuri kwa

  • Amani na upendo
  • Pesa ilikuwepo
  • Huduma za kijamii zilkwenda vizuri
  • Wanafunzi wa vyuo walipata mkopo
  • Usalama wa raia na Mali zao
  • hakukua na masuala ya kutekana,kupigana risasi wananchi tuliishi kwa raha
  • Uhuru wa kutoa maoni ulikuwepo ,masuala ya uchochezi hayakuwepo

Sasa tangu aingie magufuli awamu ya 5 ni Shida tupu
  • Vijana kawanyima ajira
  • Bidhaa za vyakula zimepanda bei sukari kaikuta inauza 1800 yeye kaipaisha hadi kilo kuanzia 2500 mpaka 5000
  • Uhuru wa kutoa maoni saa hivi haupo ukiongea ukweli unaitwa mchochezi unakamatwa na kufunguliwa mashtaka
  • wanafunzi wa vyuo vikuu wengi hawapati mkopo japo ni watoto wa maskini
  • Hela mtaani imekua ngumu kama bikra kwa changudoa

Hali ni mbaya kila sekta sasa huu utawala bora ufeli wananchi tupate fundisho na tuache kuchagua chagua watu wasio na fani ya uongozi .

Mwafwaaaa
NB: Mods msiunganishe huu Uzi
 
Mods msifute huu Uzi
Naeleza hisia zangu kama mtanzania mwenye haki ya kutoa maoni
Uzi huu hauna chembechembe yoyote ya uchochezi

Mimi ni miongozi mwa watanzania niliezaliwa enzi za utawala wa awamu ya pili
Kwa kumbukumbu zangu tawala zote kuanzia ya 2 mpaka ya 4 watanzania tuliishi vizuri kwa *amani na upendo
*Pesa ilikuwepo
*Huduma za kijamii zilkwenda vizuri
*Wanafunzi wa vyuo walipata mkopo
*Usalama wa raia na Mali zao
*hakukua na masuala ya kutekana,kupigana risasi wananchi tuliishi kwa raha
*Uhuru wa kutoa maoni ulikuwepo ,masuala ya uchochezi hayakuwepo

Sasa tangu aingie magufuli awamu ya 5 ni Shida tupu
*Vijana kawanyima ajira
*Bidhaa za vyakula zimepanda bei sukari kaikuta inauza 1800 yeye kaipaisha hadi kilo kuanzia 2500 mpaka 5000
*Uhuru wa kutoa maoni saa hivi haupo ukiongea ukweli unaitwa mchochezi unakamatwa na kufunguliwa mashtaka
*wanafunzi wa vyuo vikuu wengi hawapati mkopo japo ni watoto wa maskini
*Hela mtaani imekua ngumu kama bikra kwa changudoa

Hali ni mbaya kila sekta sasa huu utawala bora ufeli wananchi tupate fundisho na tuache kuchagua chagua watu wasio na fani ya uongozi .Mwafwaaaa
acheni unafiki mlimzodoa sana mkwere mlimtukana kila aina ya matusi huku duniani,sasa kimekuja chuma cha pua mmeanza tena kulia lia mlizoea maisha ya kuunga unga sana,wizi wizi ,dhuluma dhuluma ,ubabaishaji kila mahala,leo yote hayapo walio wengi wanakula kwa jasho lao now mmeanza kujifanya ohh tunazikumbuka sana awmu zilizopita nyoooooooo!! na bado ndo miwili bado nane
 
I will marry when I want!!

Nilimsikiliza alipoulizwa swali na yule mwalimu kwenye ziara yake kule Arusha juu ya madai ya pesa ya uhamisho. Majibu aliyotoa ilionesha wazi the man has gone. Ni inshu ya muda tu atagive up!!

Unaingia madarakañi hata increment tu ni inshu sijawahi ona aiseh!!
 
Utakaa sana we lofa JPM atafanikiwa kwa kishindo leo serikali inasaini mkataba mwingine kujenga reli kutoka morogoro mpaka dodoma sasa hii ni miaka miwili tu

Nasali usiku na mchana ule muswada wa Nkamia upitishwe.
 
Mbona utawala ushafeli na walomchagua wanaisoma namba kweli kweli...bora Mimi niliyejiamulia kumchagua lowassa lubuva akamkata..
 
Tatizo ni kutotaka ushauri.
Mbona haya mambo yangeenda sawa.
Lkn visasi na chuki haviwezi kutufikisha popote
 
Back
Top Bottom