Natamani uhuru

teenwolf

Senior Member
Feb 12, 2017
122
76
Unafanyaje pale unapokua na strict parents wasioruhusu kutoka usiku?
Okay unaombaje ruhusa kwa mzazi kama huyo?
Au niseme unamshawishi vipi akupe ruhusa?
Unatoa wapi guts za kuanza kuomba ruhusa?
kuna night concert flani sitaki kuikosa,ila naanzaje sasa,never been to one,hii naitaka sana
nawaza ntachezaje karata zangu nifanikiwe?
just wanna have some fun
ushawahi ona mtu anafurahi akiwa chuo than home,najiona mimi hapo.
 
Mbona nyie mna mbinu nyingi tu, ugua serious ukalazwe. Time ikifika toroka wodini kajirushe wee.

Asubuhi rudi wodini na mashuka, waambie umetoroshwa na wachawi kusikojulikana then watakurelease.
siko hivyo na siwezagi kudanganya
 
Kijana, acha kuwaza maisha ya anasa kabla ya wakati wake. Tulia msaidie mama yako kukuna nazi, kukata kata vitunguu na kuosha masufuria na mwiko.
 
  • Thanks
Reactions: wax
Anza kujitegemea umri unaruhusu mkuu.

Ukishajitegemea utakuwa huru kwa kila kitu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom