Natamani sana zali la kigaidi linikute mamton

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,634
28,781
Ebwana wanaJF Mzuka!

Ndoto yangu ya kuwa milionea (intems of €£$) kihalal ipo palepale ingawa inachelewa bado sijakata tamaa. Nitatumia kila aina ya mbinu niwe milionea kihalal.

Natamani nijikute kwenye tukio la kigaid mamton kama Mumbai, Paris na Westgate style. Ila gaid awe mmoja tu na anatumia kalishnakov. Yani akianza kufyatua risas tuseme kwenye mall ama tren na watu kuchanganyikiwa na kukimbia hovyo hovyo mimi kwa ujasir namrukia na kumpiga mtama nakumyang'anya AK 47 na kumshushia kibano cha haja na hapo naomba CCTV ziwepo zikirekod na watu kuchukua footage na mobile zao. Namuweka gaid chin ya ulinz mkal had vyombo vya usalama vije.

Najua siku inayofuata nitaalikwa ikulu nakuvishwa nishan ya ushujaa. Nitaulizwa unataka tukufanyie nini? Nitawajibu tu, please PUT FOR ME ONE MILLION $£€ in my account.

Kama tukio kama hili litokee bongo tuseme mliman city weee sithubut kumvaa gaid nitatoka baruu.

Let us end the weekend in style na Njooz za ushind!
 
000_6U5V5-e1451974062719-635x357.jpg
Huyu hapa french Muslim lassana Bathily aliyewaokoa wayahud supermarket paris dhid ya gaid aliyeshaua na kalishnakov. Licha ya kutunukiwa nishan ya ushujaa alilambishwa bingo la kufa mtu wanadai zaid ya euro laki mbil na nus na kupewa uraia. Pia katoa kitabu chake em not a hero kinafanya vizur sokon. Alikuwa mbeba boksi tu lakin zali la ugaid limemtoa.
 
Umeshawahi isikia kalishnikov umewashwa lakini, yani ile mlio bomba la subaru haliingii ndani
yani wewe unaona milioni ile kwa gaid halaf eti mlio wa kalishnakov unizuie nitakuwa kiziwi tu kwa muda
 
Ebwana wanaJF Mzuka!

Ndoto yangu ya kuwa milionea (intems of €£$) kihalal ipo palepale ingawa inachelewa bado sijakata tamaa. Nitatumia kila aina ya mbinu niwe milionea kihalal.

Natamani nijikute kwenye tukio la kigaid mamton kama Mumbai, Paris na Westgate style. Ila gaid awe mmoja tu na anatumia kalishnakov. Yani akianza kufyatua risas tuseme kwenye mall ama tren na watu kuchanganyikiwa na kukimbia hovyo hovyo mimi kwa ujasir namrukia na kumpiga mtama nakumyang'anya AK 47 na kumshushia kibano cha haja na hapo naomba CCTV ziwepo zikirekod na watu kuchukua footage na mobile zao. Namuweka gaid chin ya ulinz mkal had vyombo vya usalama vije.

Najua siku inayofuata nitaalikwa ikulu nakuvishwa nishan ya ushujaa. Nitaulizwa unataka tukufanyie nini? Nitawajibu tu, please PUT FOR ME ONE MILLION $£€ in my account.

Kama tukio kama hili litokee bongo tuseme mliman city weee sithubut kumvaa gaid nitatoka baruu.

Let us end the weekend in style na Njooz za ushind!
Ndoto yako isije kukupeleka pabaya, hawachelewi kukuunganisha na gaidi, kuwa mnafanana.
 
Back
Top Bottom