Natamani sana Wakugenzi walioapishwa leo kuwa watendaji kuliko kuwa wanasiasa

GERMANY

Member
Jul 24, 2014
65
21
Ni katika kipindi hiki Watanzania wenye kiu ya maendeleo wakiweka matumaini makubwa kwa Rais wao kuonyesha dira na dhamira ya kweli katika suala la Maendeleo ambalo pia watendaji wasimamie masuala ya kiutendaji kuliko kufanya kazi za siasa! Kuvxhanganya siasa na utendaji kutaleta ubaguzi ambao utaleta mvutano na hatimaye kuzoretesha Maendeleo yaliyotarajiwa!

Mungu ibariki Tanzania!
 
Hata huko wankojiita waasisi wa demokrasia mtu anapomaliza muda wake anaekuja anakuja na watu wake wa chama chake na watakao tekeleza yale waliyoahidi.
Kwa hiyo hata kama madiwani Ni wa CDM lkn wakati wakutekeleza ilani zao ni lazima ziendani na ilani za Rais maana ndie kiongozi wa taifa ila kwa yale yaliyoko kwenye mamlaka yao then watafanya watakalo.
 
Hata huko wankojiita waasisi wa demokrasia mtu anapomaliza muda wake anaekuja anakuja na watu wake wa chama chake na watakao tekeleza yale waliyoahidi.
Kwa hiyo hata kama madiwani Ni wa CDM lkn wakati wakutekeleza ilani zao ni lazima ziendani na ilani za Rais maana ndie kiongozi wa taifa ila kwa yale yaliyoko kwenye mamlaka yao then watafanya watakalo.
Rejea mfano wa MCC. Kwa hisani ya Watu wa Marekani.
Msaada uliasisiwa wakati wa utawala wa Bush Jr. Alipoingia Obama hakuna kilicho badilika japo ni wa chama kingine tofauti na kilichokuwa madarakani.

Nchi zilizoendelea zinaendeshwa kimfumo. Hawategemei akili za mtu mmoja. Wako "systemic oriented"...
 
Ni katika kipindi hiki Watanzania wenye kiu ya maendeleo wakiweka matumaini makubwa kwa Rais wao kuonyesha dira na dhamira ya kweli katika suala la Maendeleo ambalo pia watendaji wasimamie masuala ya kiutendaji kuliko kufanya kazi za siasa! Kuvxhanganya siasa na utendaji kutaleta ubaguzi ambao utaleta mvutano na hatimaye kuzoretesha Maendeleo yaliyotarajiwa!

Mungu ibariki Tanzania!
unatarajia iwe hivo wakati miongoni mwao wapo walioshindwa ubunge labda kwa wananchi kutilia shaka uwezo wao lakini wamezawadiwa ukurugenzi?
 
Back
Top Bottom