Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,329
Safura hujaelewa nini?
Safura hujaelewa nini?
Kuoa wake wengi hiki kitu huwa sikubaliani nacho. Kwa sababu tu huwa ni ngumu kutenda haki sawa kwa kila mke na watoto ulionao. Hapo ndio shida zinapoanzia.Aisee, ila kiufupi kila mtu hutamani kile ambacho hana.
Nimewasikia wanaume wengi wa Kikristo wakitamani ndoa za Kiislam (nafasi ya kuoa wake wengi) na wanawake wengi wa kiislam wakitamani ndoa za kikristo (mume mmoja).
Nb;- Kumbuka siku zote 'Grass is greener on the other side'
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ningekuwa muislamu kwa umri nilionao tayari nina vyuo kumi na watoto si chini ya 13.
Umeanza kupaniki bro .Nilikuuliza maana ya Ukristo sikukuuliza maana ya Kristo.
Kwa kujitia kwako kiherehere kwamba unajua sana ukajibu Kristo na Ukristo.
.
Nikaamua kukupa maana kamili ili nisikuache upotee.
Huwezi kuulizwa maana ya Bethlehem au Nazareth ukajibu ni (Nomino) huu ni ujinga wa madrasa.
.
Sisi ni wafuasi wa Kristo na tunafuata mafundisho yake, hakuna mahala Kristo alitutaka tusioe
Ni wewe ulisema eti Yesu hakuoa kwa kuwa yeye si waulimwengu huu!.Nilikuuliza maana ya Ukristo sikukuuliza maana ya Kristo.
Kwa kujitia kwako kiherehere kwamba unajua sana ukajibu Kristo na Ukristo.
.
Nikaamua kukupa maana kamili ili nisikuache upotee.
Huwezi kuulizwa maana ya Bethlehem au Nazareth ukajibu ni (Nomino) huu ni ujinga wa madrasa.
.
Sisi ni wafuasi wa Kristo na tunafuata mafundisho yake, hakuna mahala Kristo alitutaka tusioe
pole bro,hapa kwangu hakunaga ujanja ujanja.Kujielewa hujielewi kujitambua hujitambui kaaazi kwelikweli
Yesu alisema hivi juu ya SHERIA:-Ukristo una sheria kama hizo?
Nionyeshe Yesu Kristo alikofundisha tuwauwe wazinifu kama hakupo kaa kimya
Kwanza Kuna limit wake 4 tu sio zaidi
Tamaa ya mwanaume sio 4 tu ila zaidi yaani idadi haieleweki.
Nikujifariji tu, fanyeni research muone kama wanaume huridhika wakifikisha wake 4 ndo baasi.
Akipita mnene macho kodo
Mrefu macho kodo
Mwembamba macho kodo
Mwenye nywele nzuri macho kodo
Mwenye kiuno kizuri macho kodo
Mwenye sauti na mwanya mzuri macho kodo
Nafsi zetu huwa zinaficha mengi na midomo yetu bila aibu hunena unafiki uliotukuka.
vipi uliwahi kudate nao?Nimeishi Inguja mjini na kule ndani ndani almost mwaka mzima nawafahamu vizuri sana..
Ni wazuri wa sura tu. Mengine hovyo