NATAMANI SANA,NCHI YETU IWE NA DEMOKRASI YA HALI YA JUU KAMA KENYA:

kumusoma

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
566
889
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
 
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
Wastaafu kama akina Jo na P wanasema sisi ni the best democracy , sijui wanaota au dish zimeyumba au hasira ya teuzi au tusaidiane wadau🤔
 
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
NCHI mpaka Wajinga wapungue ndio utafika iliposhika KENYA
 
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
Hiyo dio Demokrasia,ni kumaliza bure pesa za walipa kodi,hapo Majaji,makatibu wa jaji,waendesha mashtaka,makarani,na wafanyakazi wa vyeo vya juu,wanakula over time za bure.Mbali na walio na tenda za mahakama,kama mafile makaratasi,wachapaji,marking pen,mafuta ya gari,service za gari,canteen nk,wanakula pesa za walipa kodi.
 
Pesa za walipa kodi,hapo zinaliwa na wajanja.Yoyote atakayepata kati ya hao wawili,utakujasikia wanaunda serekali ya kitaifa au uchaguzi urudiwe.Hakuna jipya hapo.
 
Kwa
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki T

Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
Kwa Tz yetu bado sana
 
Hiyo dio Demokrasia,ni kumaliza bure pesa za walipa kodi,hapo Majaji,makatibu wa jaji,waendesha mashtaka,makarani,na wafanyakazi wa vyeo vya juu,wanakula over time za bure.Mbali na walio na tenda za mahakama,kama mafile makaratasi,wachapaji,marking pen,mafuta ya gari,service za gari,canteen nk,wanakula pesa za walipa kodi.
Hao wanafanya kazi SII Sawa na Tumbocracia ya hapa kwetu, covid19 TU wametushinda miaka karibia 5,wanakula Kodi na tozo za Bure za walalahoi🤸
 
Ila wakimaliza mambo ya uchaguzi wanachana na siasa za majukwaani na kuijenga nchi yao.

Hapa kwetu wapinzani huwa hawajui mipaka yao.

Mara zote wanataka tu kuwa majukwaani kufanya siasa kama tupo kwenye uchaguzi vile.

Sijui uzalishaji tutafanya muda upi.

Ndio maana tumepata kizazi cha wanasiasa walioajiriwa kwenye siasa permanently. mfano zito,mnyika and the likes sidhani toka wametoka vyuo wamewahi fanya kazi yeyote ile ya kuajiriwa tofauti na siasa za majukwaani.

Siasa imekua ajira ya kudumu kwa baadhi ya watu.
 
Mleta mada upo sahihi ila sijui kama unaifaham ccm vizuri hasa hilo neno demokrasia na katiba vikitajwa kwao ni maumivu makali mno nyamaza tu
 
Ila wakimaliza mambo ya uchaguzi wanachana na siasa za majukwaani na kuijenga nchi yao.

Hapa kwetu wapinzani huwa hawajui mipaka yao.

Mara zote wanataka tu kuwa majukwaani kufanya siasa kama tupo kwenye uchaguzi vile.

Sijui uzalishaji tutafanya muda upi.

Ndio maana tumepata kizazi cha wanasiasa walioajiriwa kwenye siasa permently.

Siasa imekua ajira ya kudumu kwa baadhi ya watu.
Inaweza kuwa hivyo mwana tumbocracia,wa bongo,ila kumbuka unazongumzia Mambo ya taifa lenye democrasia Bora Africa 🤔
 
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
Watanzania ni lazima watambue kuwa CCM ni tishio kubwa sana kwa maendeleo hasi ya hapa nchini.
 
Uchaguzi wa Kenya umekwisha,lakini mshindi wa kiti Cha urais aliyetangazwa na tume huru ya uchaguzi ,ya Kenya RUTO bado hajazibitishwa kwa kuwa mpinzani wake wa kitu hicho ,Raila Odinga , alikwenda mahakamani kupinga matokeo yao.Mahakama ya upeo itato majibu ya rufaa ya mzee Odinga siku ya Jumatatu ijayo.Hakika nchi ya Kenya imeonyesha DEMOKRASIA ya Hali ya juu Sana , ambayo unatakiwa iigwe na nchi za kiafrika.Kenya wamepiga hatua kubwa sana ya DEMOKRASIA.Hii inaonyesha kwamba wasomi wa Kenya wamesoma vizuri Sana na wakaelimika . Wasomi wa Kenya hawababaishi kabisa.Mvutano uliotokea mahakamani unadhibitisha usomi wa hali ya juu,na upeo mkubwa sana wa uelewa wa Mambo wa wasomi wa Kenya.Hili ni fundisho kubwa kwa nchi yetu ya Tanzania ambayo ni kubwa mara mbili ya Kenya ,kuanza kujifunza kutoka kwa majirani zetu .Ni muda muafaka Sasa tusipate washindi wa urais na wabunge wa Chupli Chupli.Tupate washindi halali ambao wataisaidia nchi yetu ,kusonga mbele.Itafurahisha sana kuona wasomi wetu ,wa Tanzania wa sheria wakibishana mahakamani ,na kuonyesha weledi wao wa hali ya juu.Huo mtindo wa viongozi kupatikana kwa mbinu mbali mbali ,unasababisha tuwe na viongozi wasio na weledi.Vyama vya upinzani vya Tanzania pia ni muda muafaka kuanza kujipanga vizuri ili tuwe na vyama vya kitaifa visiwe vya watu binafsi.Tusiwe na vyama vya watu binafsi ,kama tunavyoviona kwa Sasa .Vyama hivi binafsi vinasababisha CCM pia iwe na nguvu ya kuiba kura na kukataa kutoka madarakani.Tukiwa na vyama vya umma ,hata wagombea wetu wataonekana wenye upinzani wa kweli.Mungu ibariki Tanzania.
Mkuu acha dharau au uhamie huko huko
 
Wao ndio waje wajifunze kwetu kipengele Cha utangazaji wa matokeo, siyo matokeo kila mtu anajitangazia tu utazani mnadani, hiyo Ni hatari kwa usalama wa Taifa, Ndio maana unaona wanatume wenyewe kwa wenyewe walivurugana, Sasa hiyo inaweza kuchochea vurugu Kali Sana,
 
Back
Top Bottom