uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Wanajamvi poleni na starehe ya weekend.
Mimi na wenzangu yani "sisi" watu wa mwanza tunapendekeza sana JPM kwa mapenzi yake, kama aliweza kumteuwa bwana Paul Makonda kuwa mkuu wa mkoa Dar jiji lenye changamoto nyingi na purkushani za hapa na pale fitina na majungu pia, pamoja na hayo yote huyu muungwana akaweza kuyamudu.
Kwa kipindi hichi huyu jamaa yuko bench, ingependeza sana huyu ndugu yetu aje kuwa mkuu wetu wa mkoa kwa mwanza, najua na nina imani kuwa ataweza kuzimudu changamoto zetu kutokana na mazingira yake na uzoefu aliokuwa nao "personal" mambo mengine na madogo madogo ya huku atayamudu nakuyaelewa jinsi siku zinavyoenda please makonda wa watu wa mwanza na ngoshas in general needs you alot. Asanteni matusi, kejeri na uungwaji mkono yote sawa.
Mimi na wenzangu yani "sisi" watu wa mwanza tunapendekeza sana JPM kwa mapenzi yake, kama aliweza kumteuwa bwana Paul Makonda kuwa mkuu wa mkoa Dar jiji lenye changamoto nyingi na purkushani za hapa na pale fitina na majungu pia, pamoja na hayo yote huyu muungwana akaweza kuyamudu.
Kwa kipindi hichi huyu jamaa yuko bench, ingependeza sana huyu ndugu yetu aje kuwa mkuu wetu wa mkoa kwa mwanza, najua na nina imani kuwa ataweza kuzimudu changamoto zetu kutokana na mazingira yake na uzoefu aliokuwa nao "personal" mambo mengine na madogo madogo ya huku atayamudu nakuyaelewa jinsi siku zinavyoenda please makonda wa watu wa mwanza na ngoshas in general needs you alot. Asanteni matusi, kejeri na uungwaji mkono yote sawa.