Natamani sana kutoka nyumban na kwenda kujitegemea na sijui naanzaje

musa abel jr

Member
Oct 12, 2016
39
57
Habari wana JF, mm ni kijana wa kiume mwenye miaka 23 nimemaliza chuo mwaka 2019 huko jijini Dar es Salaam katika chuo fulani hivi cha afya kada ya fundi sanifu wa madawa (pharmaceutical technician), baada ya kumaliza nikarudi home mimi Shinyanga ambapo wazazi waliweka makazi huku na kuendelea ana maish

Sasa ili kufupisha story naomba msaada natamani sana kutoka nyumbani na kwenda kujitegemea na sijui naanzaje kutoka hapa nyumban

Pili leo asubuhi nimeamka na wazo la kuchukua vyeti vyangu na kuanza kuzunguka maeneo ya hapa Shinyanga kutafuta ajira lakini kila nikiwaza naona kama vile nitakosa tu

Naomba ushauri wenu juu ya haya mambo mawili

1. Jinsi nitakavyotoka hapa kwa bi mkubwa
2. Nianzie wapi na jinsi ya kuanza kuzunguka kutafuta hiyo ajira kwenye baadhi ya pharmacy na dispensary
 
Wazo zuri,Jitahid kuwasilian na wadau wenzako uliomaliza nao ujue wanafanya nn baada ya kumaliza wanaweza wakakupa mwanga kidogo
Jitahid tu kutafuta nafas za kaz kam ambavy umeamua kuchkua vyet vyako usitoke tu nyumban bila kupata kaz,tafuta kaz kwanz ukipata ndy unaaga nyumban
Ukiendlea kuw na mawazo ya woga kuw ukienda kutafuta kaz hautopata utakaa hapo home ad watakuchoka,
 
Wazo zuri,Jitahid kuwasilian na wadau wenzako uliomaliza nao ujue wanafanya nn baada ya kumaliza wanaweza wakakupa mwanga kidogo
Jitahid tu kutafuta nafas za kaz kam ambavy umeamua kuchkua vyet vyako usitoke tu nyumban bila kupata kaz,tafuta kaz kwanz ukipata ndy unaaga nyumban
Ukiendlea kuw na mawazo ya woga kuw ukienda kutafuta kaz hautopata utakaa hapo home ad watakuchoka,
shukran sanaa
 
Habari wana JF, mm ni kijana wa kiume mwenye miaka 23 nimemaliza chuo mwaka 2019 huko jijini dar es salaam katika chuo fulani hv cha afya kada ya fundi sanifu wa madawa (pharmaceutical technician), baada ya kumaliza nikarudi hom mm Shinyanga ambapo wazazi waliweka makazi huku. na kuendelea ana maisha sasa ili kufupisha story naomba msaada natamani sana kutoka nyumban na kwenda kujitegemea na sijui naanzaje kutoka hapa nyumban pili leo asubuhi nimeamka na wazo la kuchukua vyeti vyangu na kuanza kuzunguka maeneo ya hapa shinyanga kutafuta ajira lakin kila nikiwaza naona kama vile nitakosa tyu naomba ushauri wenu juu ya haya mambo mawili
1 jinsi nitakavyotoka hapa kwa bi mkubwa
2 nianzie wap na jinsi ya kuanza kuzunguka kutafuta hiyo ajira kwenye baadhi ya pharmacy na dispensary
Tafuta mtaji kidogo, kama kuna ng'ombe nyumbani inafaa, unaweza kuuza ili upate mtaji, ukifanikiwa utawanunua wengine, Fani ya Pharmacy inalipa mjini,ukifika sehemu kama Dsm unaweza kufungua duka la dawa au ukatafuta wenye duka na kuanza kidogo kidogo.
 
Wewe toka hapo nyumbani mkuu, mengi mazuri yako mbele.
 
Pole sana mkuu, 2019 mpaka leo hii ni parefu sana aisee.
Na hapo home hujafafanua mkuu ni kula kwa shkamoo tu na hizi pesa ndogo ndogo za vocha unaomba kwa maza au kuna vimishe unapiga ila havina mkwanja mrefu??
Kama kuna vikazi unapiga basi jiwekeze taratibu, mi naamini kua hapo home ni faida kwako coz hulipi kodi, unakula na kulala bure. So ukisave hata kwa miezi kadhaa kwa malengo ya kitu fulani basi si ajabu baada ya miezi kadhaa ukawa na pa kuanzia.

Ila kama hauna mishe yoyote kabisaa ni ile home tuu, daah apo cha kukushauri ni washirikishe wazazi wako wazo lako kama wanaweza kukusaidia mtaji/ mawazo. Kuna baadhi ya wazazi hawawasaidii watoto mpaka mtoto mwenyewe ajitambue na kuomba kwa mchanganuo sahihi hitaji lake.
 
Back
Top Bottom