Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Ivi unaeza pata mtu JF mkaoana kabisa? mi wakijaga pm naangaliaaa nasema mmh sijui ngoja nimpe namba nione ila sina imani hata asilimia 1 kama future wangu yupo JF.Eebana kua na tabia ya kutembea na wanawake hovyo sio ujanja, najiwa na feelings za kupata mwanamke mwenye Tabia njema na Alieshika dini.
Nina mkosi gani mimi unakuta napanga future na mwanamke lakini mwisho wa siku ananigeuka na kusahau yote tuliopanga pamoja na gharama zangu zote nilizopoteza.
Nimempata Matilda hapa JF hata mwezi haujaisha kashaanza kuniletea mapicha, shenziiiiii!
eeeh mungu au ulishapanga tokea nazaliwa mimi nife nikiwa sina mke?! hii ni nini sasa??! aaaagh!
hembu ngoja nibaki tuu single itafahamika mbele kwa mbele maana mambo yanavyoenda inakua kinyume na matarajio.
AMA HAKIKA, unaweza ukawa Handsome na pesa unazo na usipate mapenzi ya kweli.
mimi siye.
Nipe namba namimiIvi unaeza pata mtu JF mkaoana kabisa? mi wakijaga pm naangaliaaa nasema mmh sijui ngoja nimpe namba nione ila sina imani hata asilimia 1 kama future wangu yupo JF.
pole.
Matlda kakuchuna?
unahitaji mke?Nipe namba namimi
Ndiounahitaji mke?
Tunafanya kwanza tiba pesa utalipa baada ya tiba na kufanikiwabei gani ?
Asante Sana mapepeKama ulivyo kipepe unawapata mapepe wenzio hahaaa, polee kipepe
Hahaaa, mapepe nani tena mkuu, kwani Mimi ndye MatldaAsante Sana mapepe
Nenda kaokoe jahazi kabla hali haijawa tete.Unapata unaofanana nao
Sifanani naeNenda kaokoe jahazi kabla hali haijawa tete.
karibuNdio
Nakuja Pmkaribu
Wewe ndio hufanani namimi, pagawa tuu na IDSifanani nae
Ndio wewe, ushakula pesa zangu unajidai hunijuiHahaaa, mapepe nani tena mkuu, kwani Mimi ndye Matlda
Ndio hatufanani! kuna tatizo?Wewe ndio hufanani namimi, pagawa tuu na ID
Nataka demu mkali, huyo hanifai.Nenda kaokoe jahazi kabla hali haijawa tete.
Matlida sio mtu mzuriNdio wewe, ushakula pesa zangu unajidai hunijui
nakuja PM