James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani sana kuishi mkoa wa Tanga especially wilaya yenyewe ya Tanga mjini. Nmewahi kwenda mwaka 2014 na somehow nilivutiwa napo japo sijajua baadhi ya vitu katika wilaya hiyo...
Please kwa ambao mnaexperience yoyote ya kuishi Tanga especially Tanga mjini, you may share your experience. Gharama za maisha kiujumla kuanzia bei za nyumba au vyumba vya kupanga, bei za vyakula na vitu vingine vya muhimu.
Pia hata kwa ambao mmewahi kuishi maeneo mengine ya Tanga kama Korogwe, Muheza, n.k. mnaweza kushare experience zenu juu ya maisha ya huko.
Natanguliza shukrani.
Sent using Huawei P10 Plus
Please kwa ambao mnaexperience yoyote ya kuishi Tanga especially Tanga mjini, you may share your experience. Gharama za maisha kiujumla kuanzia bei za nyumba au vyumba vya kupanga, bei za vyakula na vitu vingine vya muhimu.
Pia hata kwa ambao mmewahi kuishi maeneo mengine ya Tanga kama Korogwe, Muheza, n.k. mnaweza kushare experience zenu juu ya maisha ya huko.
Natanguliza shukrani.
Sent using Huawei P10 Plus