Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 766
- 1,287
Amani iwe nanyi.
Nimejaribu kupita pita karibu kila tweet ya huyu anaejipambanua kama anataka kuipigania haki katika nchi yetu ya Tanzania hasa wakati huu wa Uchaguzi, Bw. Robert Amsterdam.Nimecheka sana.
Yaani kila tweet anayozungumzia Tanzania, Ukipita kwenye replies utaona asilimia 98% ya hizo reply ni kuukataa huu upuuzi wake,Hawajaishia hapo kuna waswahili wanampa michambo/wanamkejeli vya kutosha, kuhusu matusi kwake imekuwa ni sehemu ya reply katika tweets zake wakitaka aiache Tanzania kama ilivyo.
In short, Watanzania asilimia kubwa wamemkataa.
Na kama jamaa angekuwa anajua kiswahili au ana translate zile comments kwa Lugha yake, anaenda kukata tamaa mapema sana kwa kile anacho amini anakipigania watu hawakitaki kabisa na angejiona boya|mjinga sana.
Watanzania hatutaki external influence kwa jambo lolote litaloleta negative impacts katika nchi yetu.
Nimejaribu kupita pita karibu kila tweet ya huyu anaejipambanua kama anataka kuipigania haki katika nchi yetu ya Tanzania hasa wakati huu wa Uchaguzi, Bw. Robert Amsterdam.Nimecheka sana.
Yaani kila tweet anayozungumzia Tanzania, Ukipita kwenye replies utaona asilimia 98% ya hizo reply ni kuukataa huu upuuzi wake,Hawajaishia hapo kuna waswahili wanampa michambo/wanamkejeli vya kutosha, kuhusu matusi kwake imekuwa ni sehemu ya reply katika tweets zake wakitaka aiache Tanzania kama ilivyo.
In short, Watanzania asilimia kubwa wamemkataa.
Na kama jamaa angekuwa anajua kiswahili au ana translate zile comments kwa Lugha yake, anaenda kukata tamaa mapema sana kwa kile anacho amini anakipigania watu hawakitaki kabisa na angejiona boya|mjinga sana.
Watanzania hatutaki external influence kwa jambo lolote litaloleta negative impacts katika nchi yetu.