charlie120
Member
- Jan 17, 2017
- 44
- 33
na sisi tunaelekea huko hukoKule Zimbabwe ndo mbaya zaidi kwani kuna mzee wa miaka 93 anatawala na anapanga kugombea tena mwaka 2018 atakapokuwa na umri wa miaka 95! Na amesema haoni wa kumrithi!!! Na kwamba atagombea hata akiwa marehemu!!!!!! Bongo nzuri.
Usiwaze nayo Tz itakua kama zim ndani ya miaka mitano hii why uharibu nauli nk